Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwasabab siku zote Huwa mko na protectionism hatukuwa na haja ya kuumbuka nanyi
Hiyo pretectionism inaaffect Tanzania pekee? Maana kila siku mnatuambia huku tunamilikiwa na foreigners, tena mnabadilisha mnasema tuko na protectionism. Ama hamjui maana ya protectionism mnaongea tu.
 
Underline the word “if” in that sentence. Kingereza kimekupita mbali sana😂😂🤣.

That “if” signifies pride, meaning the apology is not genuine. Yani we are so proud to an extent that we don’t see that tumewakosea. Hiyo pole ya Ruto ni same na the famous phrase of “Say Yes to please a fool”
The whole president is crying for forgiveness huyu ni chawa wa mama kama mwijaku tu 😂😂😂 anajua nini kinafata tumekasirika
 
Kwasabab siku zote Huwa mko na protectionism hatukuwa na haja ya kusumbuka nanyi
Haya kuna other areas like insurance with no protectionism, mbona msikuje kenya? Tofauti na omba omba, what else represent Tanzania in Kenya?
 
Sijasema hatujadili, inajadiliwa ila mmekuwa mkiimba humu eti tunamjadili wakati nyie mnatijadili zaidi. The point is ka.a imefika bungeni hapo kwenu inamaanisha kwa gumzo la kawaida si basi imechacha?

Unaongelea mwanaharakati hapo kwenu Kuna wanaharakati?
Nani kakwambia TZ hakuna wanaharakati?
Wanaharakati wetu hawawezi wakaingilia mambo ya kisenge.
 
Acquisition was an option, na hio ndio banks zingine zimekua zikitumia kuingia Kenya during hio period ya ban. Wacha excuses, kama mlikua na uwezo wa kuingia mngekua mumefanya like other banks. Mumeshindwa kuexpand Uganda lakini Kenya ndio unakuja na excuses za ban.
Uganda pia wana protectionism? 🤣 🤣
 
The whole president is crying for forgiveness huyu ni chawa wa mama kama mwijaku tu 😂😂😂 anajua nini kinafata tumekasirika
Mmepewa pole ya kimadharau alafu mnakuja kusherekea huku bila kujua maana ya “if” in that sentences. Nyinyi watanzania ni bure kabisa😂😂🤣😂
 
Nani kakwambia TZ hakuna wanaharakati?
Wanaharakati wetu hawawezi wakaingilia mambo ya kisenge.
Kwa hivo ni mambo gani wanaingilia? Hawatetei kunyanyaswa kwa opposition leaders, hawatetei kuharibu mazingira, hawapingi corruption, hawapingi ubadhilifu wa mali, hawapingi wizi wa kura sasa kazi yao ni gani?
 
Their banks are only available in Burundi😂😂
Hata hiyo Burundi unaweza pata hawapo. Kumbuka wamezingirwa na 8 stable countries lakini banki zao hazijaingia hata moja alafu wanasema Kenya hawajaingia kisa protectionism. 🤣 🤣
 
You do realize that is not even an apology don't you?
Ruto ni mjanja sana. He has killed two birds with one stone, saying a public arrogant apology to impress both Tanzanians and Kenyans at the same time😂😂🤣.

Mtanzania kwa akili yake anadhani ameombwa msamaha na Ruto lakini kwa akili ya wakenya Ruto just applied a phrase of “Say Yes to Please a Fool”
 
Ruto ni mjanja sana. He has killed two birds with one stone, saying a public arrogant apology to impress both Tanzanians and Kenyans at the same time😂😂🤣.

Mtanzania kwa akili yake anadhani ameombwa msamaha na Ruto lakini kwa akili ya wakenya Ruto just applied a phrase of “Say Yes to Please a Fool”
Ndio maana wanaingizwa box kama madem vienyeji na mapolitician wao. Hapa Kenya huwezi ambia mtu "kama nimekukosea nisamehe" alafu akubali apology. 😂😂
 
Hapo hapo alipokuwa anahutubia leo....kajikaza kweli kweli Hadi kuomba msamaha.... Na kuwagonga activists wenu tumewagonga....tume wa deport na msamaha wantam ameomba. Hadharanii duniani ikiona na ikisikia...
Nenda uangalie the meaning of “if” in an apology alafu urudi. Utagundua hakuna apology hata moja hapo Ruto amefanya, what Kasongo does was just to add oil to an already burning firewood. Wewe hujui ukora wa Ruto😂😂🤣
 
Mmepewa pole ya kimadharau alafu mnakuja kusherekea huku bila kujua maana ya “if” in that sentences. Nyinyi watanzania ni bure kabisa😂😂🤣😂
It doesn't matter, the fact it's your highest authority has bowed to us, how he bowed doesn't shift the fact
 
Back
Top Bottom