Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naomba kuhifadhi hii data, inaangazia ufukara wa Tanzania kiukweli., wale wa vipicha wakae pembeni..., Mwanza chakavu kumbe ni Kijiji cha mafukara., pia Dodoma, capital city eti., ni mnyonge kiuchumi., numbers zimedhibitisha kauli yangu.,
Ni fukara outside City premises ila hapo Mjini kati sio fukara.

As opposed to Mbeya in terms of income Iko fairly distributed ,in short maendeleo hayako concentrated mjini pekee unlike Mwanza,Dom and Arusha.

Nina takwimu zingine zingine za kwenye sensa utashangaa 😁😁

Hizi data za local government authorities from Mbeya zinaongea ukweysana 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DKNMn2UixIc/?igsh=MW1weXNnOXJvOHgzOQ==
 
NCC link skyline. Dodoma inakuja hiyoo.
IMG_7956.jpeg
 
Nenda uangalie the meaning of “if” in an apology alafu urudi. Utagundua hakuna apology hata moja hapo Ruto amefanya, what Kasongo does was just to add oil to an already burning firewood. Wewe hujui ukora wa Ruto😂😂🤣

Bwana wantam chickens out... He blinks first..

It proves that kunyaland was on losing side... Tumeona akitoa kamasi na kuomba msamaha kinyonge sanaaa... That's what matters...... Nyie burukenge endeleeni ku twist tu hii maneno...
 
Naomba kuhifadhi hii data, inaangazia ufukara wa Tanzania kiukweli., wale wa vipicha wakae pembeni..., Mwanza chakavu kumbe ni Kijiji cha mafukara., pia Dodoma, capital city eti., ni mnyonge kiuchumi., numbers zimedhibitisha kauli yangu.,
Unaweza kutuletea total revenue collection ya wajir for a year ( own source (osr)) hazifikii hata nusu ya province ya Tanzania inayokusanya kiasi kidogo kuliko zote?
Wajir sqm 55,000 km collection 164,000,000 ksh =1,271,000. Usd
Rukwa sqm 27,000
Collection 10bil tzs = 3,770,000 usd
Kenya Kuna uneven distribution of wealth kati ya county 47 ni county 17 tu ndo zenye uwezo wa kukusanya zaid ya 1bil per year
While in Tanzania bara kati ya mikoa 25 ni mikoa mitano tu haiwezi fikia 1bil ksh

Imagine county nzima inakusanya ksh 92mil na imepitiwa na mto mkubwa kuliko mito Kenya na Ina ukubwa zaid ya mkoa kilimanjaro au mtwara
 

Attachments

Ni fukara outside City premises ila hapo Mjini kati sio fukara.

As opposed to Mbeya in terms of income Iko fairly distributed ,in short maendeleo hayako concentrated mjini pekee unlike Mwanza,Dom and Arusha.

Nina takwimu zingine zingine za kwenye sensa utashangaa 😁😁

Hizi data za local government authorities from Mbeya zinaongea ukweysana 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DKNMn2UixIc/?igsh=MW1weXNnOXJvOHgzOQ==

Dodoma nje ya mji hakuna shughuli yoyote inayofanyika sababu ni pakavu balaa .
Mbeya mazingira yanaruhusu kilimo karibia msimu wote ndo maaana Kuna tofauti kubwa sana .
Ukiangalia mikoa mingi kama njombe ,songea,mtwara nyingi mapato yake ni mazao.
Ukiangalia mapato ya wilaya zote za mtwara 70% ni korosho+ ufuta+mbaazi+ karanga
Njombe miti
Songea mazao
 
Dodoma nje ya mji hakuna shughuli yoyote inayofanyika sababu ni pakavu balaa .
Mbeya mazingira yanaruhusu kilimo karibia msimu wote ndo maaana Kuna tofauti kubwa sana .
Ukiangalia mikoa mingi kama njombe ,songea,mtwara nyingi mapato yake ni mazao.
Ukiangalia mapato ya wilaya zote za mtwara 70% ni korosho+ ufuta+mbaazi+ karanga
Njombe miti
Songea mazao
Mara ya mwisho umeenda lini Dodoma kaka.?
 
Back
Top Bottom