Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Au siyo? Ukiiona Mwanza hapa kwenye top 5 unitag 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DHI7fgJoeJt/?igsh=dmVkMTFyN3V4aHJyView attachment 3348345View attachment 3348346
Naomba kuhifadhi hii data, inaangazia ufukara wa Tanzania kiukweli., wale wa vipicha wakae pembeni..., Mwanza chakavu kumbe ni Kijiji cha mafukara., pia Dodoma, capital city eti., ni mnyonge kiuchumi., numbers zimedhibitisha kauli yangu.,