chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,312
- 45,112
Lakini nilikuambia mtakuja na magoti sikukuambia? 😂😂
Lakini nilikuambia mtakuja na magoti sikukuambia? 😂😂
Hapo mlikuwa mnampea Honorary degree. Hiyo pekee ni heshima mliyo nayo kwake. Kwanza unajua honorary degree ni nini? Labda naongea na aliyefika Primary school hapa.Kenyatta alikuja kwa magoti kabisa akaomba apewe na akili kidogo View attachment 3348787
Win is win hakuna nyembamba na neneNisamehe is a genuine apology, lakini “if I have done…, I apologise.” Is not an apology.
Comments za hiyo video ndio hizi. 🤣🤣🤣
View attachment 3348785
Waachane na Tanzania waende kujifunza mbioMmejaa kwenye mfumo mumebaki kulia lia mitandaoni.
Nchi yenu nzima mmejadili Tanzania wiki nzima sisi siku moja tu tumewajibu tena wabunge wachache wamefanya mnalia mitandaoni.
Kweli hajaomba msamahaHapo mlikuwa mnampea Honorary degree. Hiyo pekee ni heshima mliyo nayo kwake. Kwanza unajua honorary degree ni nini? Labda naongea na aliyefika Primary school hapa.
Barclays exited the African Market and sold off its shares to ABSA Bank. Enyewe kukua primary school dropout ni mbaya, yani unadhani Barclays rebranded to ABSA without an acquisition. ABSA is a Southern African bank that existed while Barclays was still operating in Africa. Heeee kukua primary school dropout ni mbaya, sasa ona hujui about mergers and acquisitions. 🤣🤣🤣Rudi shule🤣🤣🤣🤣🤣
Lini Barclays Kenya aliuza shares zake kwa Absa ? Kwanza jua tofautisha kati Barclays group na Barclays Kenya.
Barclays Kenya ilikuwa chini ya regulation za central bank of Kenya while Barclays group was under the regulation of uk.
Barclay group was registered in the London stock exchange
Barclays Kenya was registered in Nairobi stock exchange in 1986.
With majority shareholding ya 68.%
Sasa ni lini Barclays Kenya iliwahi uza shares zake kwa Barclays group?
Rudi shule wewe.Lakini nilikuambia mtakuja na magoti sikukuambia? 😂😂
Kenya is a failed South Africa.Hiyo pretectionism inaaffect Tanzania pekee? Maana kila siku mnatuambia huku tunamilikiwa na foreigners, tena mnabadilisha mnasema tuko na protectionism. Ama hamjui maana ya protectionism mnaongea tu.
The ban was put in place after Ile scandal ya Imperial Bank, punguza kuropokwa ju it had nothing to do with competition.Is this not a ban ? Kwanini umlazimishe ili niingie kwa soko shart nifanye manunuzi ya existing bank na sio nianzishe bank yangu ?
Why did you impose that ban kama hamkuwa mnakwepa competition?
![]()
The Central Bank of Kenya lifts the ban on new bank licences
The Central Bank of Kenya grants new banking licences again starting July 2025, after it lifted the decade-old ban.thepaypers.com
Ruto also mentioned Uganda and Young people but trust bongolalas to make it about them due to inferiority complex.🤣🤣🤣
More Kenyan Banks with branches in Vumbistan.
I&M Bank
DTB Bank
View: https://x.com/PolycarpMDM/status/1927305968875979017
Hata nashangaa why they can’t see behind the curtains, hapo Ruto asked for apology from Gen-Z, Uganda and then Tanzania came last. Of all the three groups apology ya Ruto was not genuine to either.Ruto also mentioned Uganda and Young people but trust bongolalas to make it about them due to inferiority complex.🤣🤣🤣
Which Tanzanian bank is in Kenya?Is DTB a Kenyan Bank ?
Kasongo kawatia kidole 😂😂😂Hata nashangaa why they can’t see behind the curtains, hapo Ruto asked for apology from Gen-Z, Uganda and then Tanzania came last. Of all the three groups apology ya Ruto was not genuine to either.
Yes it's a Kenyan Bank. The parent company is registered in Kenya, Headquarters ziko Kenya, the chairman is Kenyan and majority shareholders are Kenyans via the NSE.Is DTB a Kenyan Bank ?
I believe that's not the answer to the question I asked.Which Tanzanian bank is in Kenya?