chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,124
Kipindi kile ni citizen TV ilimuomba Magufuli week nzima, leo ni president himself aisee hii Tanzania naanza kuiogopa 😂😂😂Ruto ni mjanja sana. He has killed two birds with one stone, saying a public arrogant apology to impress both Tanzanians and Kenyans at the same time😂😂🤣.
Mtanzania kwa akili yake anadhani ameombwa msamaha na Ruto lakini kwa akili ya wakenya Ruto just applied a phrase of “Say Yes to Please a Fool”