Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tafuta utaona macho hauna!?
Una wazimu. 🤣 🤣
images-17-jpg.3346270
 
Mzee kama hujui kilichonyuma ya pazia bora ungekaa kimya uache vyombo vya usalama vifanye kazi. Amani tuliyonayo hii ni muhimu kuliko demokrasia.

Wakenya walilipwa pesa na Ubelgiji kwaajili ya kuvuruga uchaguzi wa Tanzania.

Test yao walianzia kwa Mwambukusi wakashinda. Next step ilikuwa kuharibu uchaguzi. Walikuwa wamepanga kuingiza watu toka kenya kuja kuvuruga uchaguzi.

Ile ya #Rutomustgo ili target yao ni Tanzania ili nao wafuate mkumbo. But ilibuma wakaja na plan B. Nayo tumeiona.

Next step itakuwa kufunga mpaka wa kenya na Tanzania kila mtu abaki kwenye nchi yake mpaka next year mwezi wa kwanza.

You actually believe that!😅😅
You guys clearly have a long way to go
 
BAdo kutoka isaka kwenda Kampala kwa Uganda ni gharama walau achukulie keza unakuwa umempunguzia km 300 na bado Rwanda atachukulia hapo
SGR ya Tanzania inafika Mwanza.

Mwanza kuna bandari kavu ua Fela, inatarajiwa kujengwa.

Lakini pia kuna daraja la Magufuli.

Hivyo, Uganda wana option pia ya Meli (MV Mwanza) au Daraja la Magufuli via Mutukula.
 
SGR ya Tanzania inafika Mwanza.

Mwanza kuna bandari oavu ua Fela, inatarajiwa kujengwa.

Lakini oia kuna daraja la Magufuli.

Hivyo, Uganda wana option poa ya Meli (MV Mwanza) au Daraja la Magufuli via Mutukula.
Point yangu Iko kwa ajili ya kujifanya bandari ya Tanga iwe active, ni Bora tuunganishe Tanga port kwenye njia kuu walau watachukulia mzigo popote
 
Sasa unataka nikuamini wewe watchman usiyejua chochote kwamba sio kweli Kenya iko na GDP kubwa kuliko nchi yako? Kwamba unajua zaidi kuliko economists wa WB na IMF?



Sio Kenya tu, hata Tanganyika yako unayokienzi iko na GDP kubwa kuliko North Korea. How about that bongolala? Do you believe it?View attachment 3345932



Unataka nisiamini takwimu nikuamini wewe watchman wa Tandale? Na ni ushahidi gani uko nayo if I may ask you? Talking of ushahidi, hebu tupe ushahidi kwamba wewe umetahiriwa. Kumbaff sana!!



Sasa wewe uaminiwe ukisema ulitahiriwa ukiwa mdogo ila wengine wakisema hivyo hauwaamini! Si unaona ulivyo msenge!!
embu pitieni hapa halafu tu argue kama watu wenye akili

View: https://www.reddit.com/r/northkorea/comments/1evbjiy/how_come_north_koreas_gdp_is_so_low_even_though/#:~:text=https://www.reddit.com,translate%20to%20low%20technological%20development.
 
Shows an expanding economy bongolala. High rental income in Nairobi plus a bigger middle-class able to spend money on high-end real estates. Even your own sisiemu government doesn't want to be left behind. It is building a new embassy offices in Upper Hill to tap on the huge potential lacking in your glorified fishing village Dar
Expanding economy with no fiscal space. maajabu ya dunia haya.
 
Back
Top Bottom