IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
Mbona waliijenga ushago 😅
Mbona waliijenga ushago 😅
Hebu break down maana ya modernity, what do you understand by modern.. tuanzie hapoWe hangaika na capacity 🤣🤣🤣 modernity na uzuri hilo suala sahau. 🤣🤣🤣 we piga kelele za ukubwa wa uwanja tu
Sasa unataka nikuamini wewe watchman usiyejua chochote kwamba sio kweli Kenya iko na GDP kubwa kuliko nchi yako? Kwamba unajua zaidi kuliko economists wa WB na IMF?Kwani c takwimu hzo hzo zinazosema Kenya ina GDP kubwa kuliko Tz? Je, wewe unaamini?
Sio Kenya tu, hata Tanganyika yako unayokienzi iko na GDP kubwa kuliko North Korea. How about that bongolala? Do you believe it?Si takwimu hzo hzo zinazosema Kenya ina GDP kubwa kuliko North Korea?
Unataka nisiamini takwimu nikuamini wewe watchman wa Tandale? Na ni ushahidi gani uko nayo if I may ask you? Talking of ushahidi, hebu tupe ushahidi kwamba wewe umetahiriwa. Kumbaff sana!!Yani takwimu ziseme watanzania wengi ni uncircumcised kuliko wakenya na bado uamini wkt humu tu ushahidi upo wazi, kati ya wakenya mliopo humu 99% hamjatahiriwa including you.
Sasa wewe uaminiwe ukisema ulitahiriwa ukiwa mdogo ila wengine wakisema hivyo hauwaamini! Si unaona ulivyo msenge!!Kuhusu mm, nilitahiriwa nikiwa kijana mdogo, kama ningekuwa sijatahiri ningetetea magovinda kama wewe.
Shows an expanding economy bongolala. High rental income in Nairobi plus a bigger middle-class able to spend money on high-end real estates. Even your own sisiemu government doesn't want to be left behind. It is building a new embassy offices in Upper Hill to tap on the huge potential lacking in your glorified fishing village DarGhorofa ndiyo future yenu? Nyie kweli wendawazimu.
Bomas was there and was smaller before kilimanjaroWacha sasa, wataongeza size ya Kilimanjaro. Utaskia kuna new phases, mahoteli, arena na kadhalika , hata kama hazina economic sense, bora washindane na sisi ..🤣🤣
Kumbe dongo kundu na JP Magufuli bridge ni of the same price lakini angalia tofauti zilivyokubwa, wakundustan sijui wataibiwa mpaka lini yaani mpaka huruma
View: https://x.com/grok/status/1926736118067708191?t=0g1j59Xshjp-qVlUmMGkYw&s=19
Liberate Tanzania on X hahah,We need to liberate Tanzania from the hands of oppressors and there is nothing you can do about it. In 25 years your children will be thankful to Kenyans.. that’s a fact!
Opinion yako sio opinion ya watanzania wote
So you confirm you envy our system.Kenya projects are always expensive coz as a free market economy, there are major obstacles of land compensation ( real and imaginary) unlike socialist countries like TZ where the government owns the land. If Kenya land system was similar to TZ, Kenya would be a first world by now. Sometimes land compensation costs as much if not more than the project itself due to market rates ( and they get exaggerated to some degree in such projects).
Every system has its strengths and weaknesses. But Capitalism creates more private wealth and empowers individuals as opposed to government control of every sphere of life. Tanzania government can do whatever it wants with land but on the other hand, Kenya can create more wealth opportunities since land is in private citizens hands.So you confirm you envy our system.
Nyie mnaoishi kwenye mabati na kukosa chakula kwa kukosa ardhi ya kulima ndo mko liberated?We need to liberate Tanzania from the hands of oppressors and there is nothing you can do about it. In 25 years your children will be thankful to Kenyans.. that’s a fact!
Opinion yako sio opinion ya watanzania wote
Kwani Tanzania hakuna "land compensation"?Kenya projects are always expensive coz as a free market economy, there are major obstacles of land compensation ( real and imaginary) unlike socialist countries like TZ where the government owns the land. If Kenya land system was similar to TZ, Kenya would be a first world by now. Sometimes land compensation costs as much if not more than the project itself due to market rates ( and they get exaggerated to some degree in such projects).
It was a loong drive from the main road. I hope they tarmac the road because if they don't no fan will be attending those matches. 🤣 🤣Mbona waliijenga ushago 😅
Mko na pang’ang’a mingi sana, Bomas Reconstruction was planned since 2011.Bomas was there and was smaller before kilimanjaro
Kilimanjaro had plans for total 10k seats before
Nyie mmesikia tunajenga MKiCC na nyie ety mnarudisha ku revamp Bomas
Kwann hamku revamp since last 2 years
Ni mnauoga sa hizi