Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu

1748039016400.jpeg
 
Yule kunyan kachezea kifiro ila anaogopa kuweka hadharani,marinda hamna pale kama kwa mvaa mitumba oversize mwaiofhawaii
Mzee wa ma-oversize, hata kama umeenda dukani ukakuta brand ya nguo unayoipenda kama kubwa achana nayo hiyo nguo sio size yako Mwai bora ukampa Kevoo tu, you look like sick person.😀
 
Ingekuwa mawazo yangu.

Futa project ya kujenga uwanja wa kimataifa Kagera, maana hata uwanja wa kimataifa Chato ni tembo mweupe.

Boresha uwanja mpya wa Mwanza uwe wa kimataifa.

Jenga njia 4, barabara za Mwanza Mjini to Gate la Serengeti - 4LANES, Mwanza CBD - Nyanguge, Musoma Road.

Watalii wanaoshukia Mwanza wanaingia serengeti kupitia Mwanza International Airport.

Na watakaoingia kupitia KIA wanaingia Serengeti, kupitia Arusha.

Watalii wavivu, tayari tuna Seronera Airstrip ambayo inapokea ndege ndogo.

Kujenga Uwanja mkubwa mbugani, hata kama wanasema sijui ni Green. Mwisho wa siku Ndege zina kelele sana plus Mataa.

Wanyama watahama watakuwa wanahama kila siku.

Kama tunasema Maasai wanavuruga ecosytem ya Ngorongoro, vipi kuhusu Ndege kubwa na taa za uwanja wa ndege??
Naungana na wewe rather expand Mwanza and expand seronera air strip kuweza kuchukua a bit larger planes kuliko kuwa na new airport
 
Kwa hizi takwimu, Air Tanzania is supposed to have direct flights to all top four countries. They can have two to three flights per week with good load factor!! Sijui kwa nini hawachangamkii hii fursa.
To fly to those top 4 destinations you need 787 8 / A330900 neo. At least 3 hadi 4 mpya

We are flying to India , Guangzhou already

Plans zipo za London tukipata EASA

Itasaidia pia ku fly Milan/ Rome. and Frankfurt

Ila bila ndege mpya hatutaweza na dreamliner 3 ku cover kote huko
 

View: https://x.com/patsPato17/status/1925910980736815426?t=DjO5sDW4I3AI_Q0ftQDOcw&s=19 hapa mkenya kwa mkenya wanajibishana,yan jamaa kuiongelea vizuri TZ wanamuona kama si mwenzao,kuna jambo kuhusu siasa za kenya,inapokuja kitu kuhusu taifa lao basi,ukabila,udini na upinzani wa kisiasa uwa wanaweka kando wanapambania taifa lao,mimi hata sio ccm ila naamini iwapo pale kenya ungepatikana upinzani wa kuuchafua kenya nje ya kenya,percent ndogo sana ya wakenya ingeuunga mkono upinzani wa aina hiyo,kwa hili wakenya wametuacha mbali mno,contrary siasa za TZ tena ndani ya miaka 20 ya mbowe pale cdm,katengeneza upinzani wa mtu ukiwa mpinzani basi upinge kila kitu hata kama ni kizuri,wakenya wanakuambia kabisa rais wao acha wamtukane wenyewe kama si mkenya usithubutu kumtukana rais,mazwazwa wa TZ sie ni tofauti,sad aisee

Kuna kuchafua nchi na kuambiana ukweli.

Kuna kuipenda nchi na kupenda chama cha siasa au tawala.

Watu wanawachukia watawala au vyama vya siasa kwasababu wanapenda nchi zao.
 
Back
Top Bottom