Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani wakati wanamshauri jinsi ya kuweza kutatua migogoro Ile bila kuingia gharama ya kulipa fidia kwanini hakusikiliza.
Terms walizomshauri kina lisu za kukaa pamoja na kubadilishia terms of ownership zisingefaaa. Haya acacia kaha madini yashaisha na fidia tutalipa? 🤣🤣🤣
Yamebaki mahandak
Lissu ni mropokaji, Magu alikuwa sahihi.
 
Wakundustan ninyi wapumbavu kweli, yaani hizo nyumba zote mnazojenga zote hazitakaa zifike idadi ya nyumba za wanajeshi Tanzania ilizojenga nchi nzima kila wilaya Tanzania hii, hizi nyumba zipo kila mahali Tanzania na hujawahi kuzisikia zikiongelewa popote

A quick Google search shows China gave TPDF a $550million loan to build 12,000 houses.
Lol. That's not even Mukuru project numbers alone.
You're boasting about a decade-long nationwide project that has produced fewer numbers than one project in Nairobi.

Fomu sixi on full display again. 😂😂😂

Kenya has over 150,000 housing units from the affordable program alone, in various stages of construction. Many more in planning or in courts.
As long as the housing levy exists, the money is there to scale this up to at least 1 million completed or ongoing houses in the next 5 years.
 
Bahati mbaya huwenda umeingia kwenye siasa kwa mkumbo sio kwa akili zako wewe ndiyo yule unaeona familia yako inaharibika huchukui hatua kwa sababu unamasilahi una kuharibika kwa familia yako ila huko mbeleeni hujui nn kitakukuta ndiyo wakenya wakati wanagawana aridhi hawakijua akina tiwagesi wataishije hii leo ndiyo wewe sasa yale ya Gaddafi kuwa hafai akauwawa nchi haitawaliki kipi bora tuwaruhusu waje na sisi tuharibikiwe au tuafukuze, hao ndiyo wanao pinga Bomba la mafuta, ndiyo vinara wa kutuchafua kwenye mitandao ya kijamii halafu bado uwachekee Baba au Mama wa familia kwenye hili namuunga mkono Mama 100% Wakamalize mataizo yao ndiyo waje tuongee kwa nn iwe ni siasa tu mbona kuna mambo mengi ya kimikataba mbona hawaji kuwa tumekosea
Aliomba msamaha baada ya kufanya blanda sio. Huko mbeleni baada ya miaka mingi hawa wanaowafanyia wenzao maovu wakija omba msamaha tuwasamehe tu wakati wanashauriwa ila wameziba masikio.
 
Bahati mbaya huwenda umeingia kwenye siasa kwa mkumbo sio kwa akili zako wewe ndiyo yule unaeona familia yako inaharibika huchukui hatua kwa sababu unamasilahi una kuharibika kwa familia yako ila huko mbeleeni hujui nn kitakukuta ndiyo wakenya wakati wanagawana aridhi hawakijua akina tiwagesi wataishije hii leo ndiyo wewe sasa yale ya Gaddafi kuwa hafai akauwawa nchi haitawaliki kipi bora tuwaruhusu waje na sisi tuharibikiwe au tuafukuze, hao ndiyo wanao pinga Bomba la mafuta, ndiyo vinara wa kutuchafua kwenye mitandao ya kijamii halafu bado uwachekee Baba au Mama wa familia kwenye hili namuunga mkono Mama 100% Wakamalize mataizo yao ndiyo waje tuongee kwa nn iwe ni siasa tu mbona kuna mambo mengi ya kimikataba mbona hawaji kuwa tumekosea
Umeelewa point yenyewe inayoongelewa hapa.
Issue sio siasa wala muonekano,
Kinachotokea sasa hivi Kila kitu tunahusisha na siasa.
Wakati bomba linapingwa na wakenya hapa wote tuliungana kupinga ni watu wachache sana walikuwa upande wao , hii ilitokana hakukuwa na maumivu kwa mtu yoyote bali ilikuwa ni maslahi kwa nchi.
Ili hii nchi iwe na amani lazima ifikie hatua Kila mtu aonekane Yuko sawa na mwingine.
Mpaka sasa tunahubiriwa kwamba tumevamiwa mara Kuna hela imetoka ubelgiji kwa ajili kuchafua hali ya hewa.
Je kipindi kile kina lisu wanatetea watu waliofukiwa kwenye migodi SI waliambiwa pia kuwa wanatumika na mabepari.
Haya wewe mwenyewe umekiri kuwa mkapa alikiri kwenye kitabu chake kuwa alifanya makosa , sasa yupi ni alikuwa anahatarisha amani kati ya mkapa na lisu miaka hiyo? Iweje Leo turopoke kuwa Kuna hela inatumika kutuvuruga na Kuna watu wametumwa ila mnashindwa kuleta evidence ?
Iweje haya yanatokea baada ya Ile kauli ya kuibiwa makaa ya mawe songea?
Baada ya miaka 10 wakija wakakiri kuwa walifanya makosa ya miradi ya makaa ya mawe tulazimishe kubadilishia mikataba tutawaona Tena ndio wokozi?
🤣🤣🤣🤣
 

View: https://x.com/bizy94/status/1924731440346104060

1747737324230.png
 
Bahati mbaya huwenda umeingia kwenye siasa kwa mkumbo sio kwa akili zako wewe ndiyo yule unaeona familia yako inaharibika huchukui hatua kwa sababu unamasilahi una kuharibika kwa familia yako ila huko mbeleeni hujui nn kitakukuta ndiyo wakenya wakati wanagawana aridhi hawakijua akina tiwagesi wataishije hii leo ndiyo wewe sasa yale ya Gaddafi kuwa hafai akauwawa nchi haitawaliki kipi bora tuwaruhusu waje na sisi tuharibikiwe au tuafukuze, hao ndiyo wanao pinga Bomba la mafuta, ndiyo vinara wa kutuchafua kwenye mitandao ya kijamii halafu bado uwachekee Baba au Mama wa familia kwenye hili namuunga mkono Mama 100% Wakamalize mataizo yao ndiyo waje tuongee kwa nn iwe ni siasa tu mbona kuna mambo mengi ya kimikataba mbona hawaji kuwa tumekosea
Kwani walikuwa wanakuja kuongea au kusikiliza kesi?
Ingekuwa wamekuja au huko walikotoma wangekuwa wameitisha press conference kuwa wanakuja pambana sawa .mara ngapi mawakili watanzania wameenda Kenya, Uganda hat usa kusikiliza kesi zisizowahusu
 
Hakuna nyumba iliyo kwa riverbed itabaki. Hio yote ni part of Nairobi River Regeneration Program.
Tuliza boli. The shanties will be demolished slowly as the new units become available.
Weka stockpile ya tissue, machozi itakuwa mingi.
Slums zitaisha kama mnawapa hizo nyumba bure au kama gharama itakuwa ndogo, nje na hapo unatupigia kelele humu.
 
Back
Top Bottom