Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Washamba mliojawa na wivu, hivi lini Hii nchi yetu tukufu ya Tanzania itaongoza ukanda huu wa Africa ya mashariki na kati? Kila Saa tupo number 2 ilhali KENYA imejaza ukabila,njaa na ugaidi.

Na je mbona hawa manyang'au kila kitu kwao rahisi kujenga? Si JKIA, Thika superhighway, SGR kilomita mia Tano wakati yetu hijulikani wapi na wapi, LAPSSET washaanza sisi hata ile ya Dar bado ndogo sana, Nchi yetu yenye rotuba na raslimali za kila aina ilhali Kenya ni jangwa la kutupwa na bado wanatubabaisha hata kwa JF. Sisi watanzania tuna shida mingi sana na jinsi kuzitatua ni sisi wenyewe wala si kuwashobokea waKenya....Hapa kazi tu slogan naona ni ya kipuzi na yakuwafumba watanzania macho. Tutafika tu wakuu.
Ukweli mkuu, unajua hii ya sisi Kuitwa LME(low middy economy) wakati ipo kwenye makaratasi, inauma sana,coz,GDP imepikwa,uchumi umedumaa,BIGGEST PIG-LIKE SLUMS, poverty, growth of 4.5% economy.inatuumiza sana sisi wakenya.
 
EC07AB59-DFE3-4E64-84FB-73824722009B.jpeg
 
Ukweli mkuu, unajua hii ya sisi Kuitwa LME(low middy economy) wakati ipo kwenye makaratasi, inauma sana,coz,GDP imepikwa,uchumi umedumaa,BIGGEST PIG-LIKE SLUMS, poverty, growth of 4.5% economy.inatuumiza sana sisi wakenya.
World Bank na IMF wanajua kupika data sana kwanza pande ya Wakenya. Mbona yetu hapa Tz wanatuweka LDC?
 
George Weah has been elected Liberia’s 25th president. The 51 yr old former World Footballer of the Year swept 13 out of the 15 counties with his 73-year-old opponent Joseph Boakai getting only two counties.
 
images
nairobi-kenya-vector-illustration-skyline-cityscape-72316424.jpg

NAIROBI- A GLOBAL BRAND NAME



logoWithText_retina.png





w213-h160-k-no
Nairobi Hotel-Guangzhou,China


upload_2017-12-27_14-59-51.jpeg


upload_2017-12-27_14-59-19.jpeg
City Of Nairobi Park-Denver,Colorado-USA


0c258e61928d9aeb45eacd59990a0099.jpg


maxresdefault.jpg


1507106212-Java---1---header.jpg

Nairobi Java House- Kenya,Uganda,Rwanda
 

Attachments

  • upload_2017-12-27_15-3-0.jpeg
    upload_2017-12-27_15-3-0.jpeg
    11.4 KB · Views: 47
Kile kilichotoka China mwaka huu mlinunua?, mbona tunawadai pesa kibao za chakula mlichochukua kuanzia 2014 hadi leo, au kwenu Tanzania pia ipo kwenye list ya nchi mlizozikopa, kwahiyo katika hiyo 56% ya madeni yenu mliyoyatandaza dunia nzima mnakwenda kuomba misaada pia Tanzania ina share humo?
kilitoka tanzania ama china?
 
Back
Top Bottom