Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ulikua unaona kama hatuujui talanta vile 🤣 🤣 , yaaani unachopitia saaahv tanzania washapita miaka 1000 nyuma, kwenye swala la football we kaa kwa kutulia kabisa huna unachojua kuhusu sports and infact wakati tunakwambia talanta will neither have VAR, GOAL LINE TECH na HYDRAULIC SYSTEM ulikua unatuona kama hatujui talanta vizuri, kula chuma icho
Enyewe ignorance ni kitu mbaya. Nyamwezi, even if you don't know something, can't youbdo a simple Google search uelimike kidogo. Mbona unakaza fuvu hapa?
 
wakilazimisha kuchukua mafuta ya Uganda Mseveni anaweza ku-cancel SGR!
kenya wamenyanyasa sana m7 ndo maaana alisaini haraka sana sgr ya tanzania, overall wakenya ni wezi wezi unaweza kuta hata washachukua mafuta ya mzee wa watu 🤣 🤣 🤣 vitoto vijizi sana
 
Enyewe ignorance ni kitu mbaya. Nyamwezi, even if you don't know something, can't youbdo a simple Google search uelimike kidogo. Mbona unakaza fuvu hapa?
bado unabisha tu
1775733199349.png
 
Enyewe ignorance ni kitu mbaya. Nyamwezi, even if you don't know something, can't youbdo a simple Google search uelimike kidogo. Mbona unakaza fuvu hapa?
How is life under that bati and plastic seats so far? yenyewe wewe ni mbishi na fala, unatuona kama sisi hatujui stadiums
1775733261099.png
 
Enyewe ignorance ni kitu mbaya. Nyamwezi, even if you don't know something, can't youbdo a simple Google search uelimike kidogo. Mbona unakaza fuvu hapa?
aka katoto tunafaa kukapa jina jipya kabishi kama slums zao
1775733391870.png
 
ladies and gents, the roof above is hydrauiic, apologies mwanzon tulikua tunapanga bati moja moja ila tuliweka super glue ziwe hydraulic

1775733496889.png
 
ni watanzania tu wamepiga picha vibaya si mnaona roof inatolewa na kurudishwa kwa hydraulic
1775733655313.png
 
Enyewe ignorance ni kitu mbaya. Nyamwezi, even if you don't know something, can't youbdo a simple Google search uelimike kidogo. Mbona unakaza fuvu hapa?
nakuonea huruma maaana bado hujaona disapointment 🤣🤣🤣🤣 After afcon kama saahvuko disappointed basi life after afcon itakua x100 🤣🤣🤣 nakuonea huruma sana na bati lako
 
ivi lile bango mlikua mmeweka pale town la watu waliouliwa na ruto regime mmeshalitoa? or did the childrens that were killed in church
And whatever happened back then is history which we have the freedom to talk about ( that’s how you are able to know) ..Yet people were massively killed during your recent elections. Can you dare mention about it here?..No you can’t because some CCM agents would pay you a visit. The fact that you don’t see the difference between Kenya and Bongo in such issues could only be blind patriotism. 😆
 
Ladies and Gentlemen s on this pic is talanta stadium with HYDRAULIC SYSTEM, this system is only available in 2 stadiums world wide REAL MADRID and kenya only

View attachment 3569933


View attachment 3569935

Huu uwanja ni modern kiasi kwamba unaweka mabati na HYDRAULIC SYSTEM , ndan utabeba TOURISTS 60,000
Uwanja wa Real Madrid has computerized hydraulic tension cable roof-lifting system. The only difference is that it has what's called a retractable roof, something that Talanta doesn't. Enyewe wewe nyamwezi ni desperate and ignorant at the same time!

Santiago Bernabéu (Spain), Allegiant Stadium (USA), Volgograd Arena (Russia), Singapore National Stadium, and Talanta stadium are the only stadiums in the world with this technology

Allegiant Stadium
You can clearly see the hydraulic cables (with yellow colour) placed on top ready for installation.
raiderstom.png
ZP30DKvb-1920.jpg


Volgograd Arena
Dofoto_20260409_145435064.jpg
Dofoto_20260409_145204770.jpg
 
nakuonea huruma maaana bado hujaona disapointment 🤣🤣🤣🤣 After afcon kama saahvuko disappointed basi life after afcon itakua x100 🤣🤣🤣 nakuonea huruma sana na bati lako
Will we host AFCON? 🤣🤣🤣
A nyamwezi can't stick to one constant lie
 
Kenyatta International Convention Centre (KICC) built 1974 under british mind set
KICC ilifunguliwa Rasmi na Rais Jomo Kenyatta mwaka wa 1973, Wewe hio KICC yako Mlijenga na wazungu 1974 labda huko Kigoma sio Nairobi. KICC ilijengwa na serekali ya Mzee Jomo Kenyatta Kenya ikisherehekea Miaka Kumi baada ya kufukuza mzungu na pesa za serekali. Tena architecture alikua mkenya anaitwa David Mutiso.
IMG_7403.jpeg
IMG_7398.jpeg
IMG_7400.jpeg
IMG_7399.png
IMG_7402.jpeg
 
Back
Top Bottom