joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Njaa, slums, poverty, unemployment, tribalism, insecuritySasa nchi DC na watu wake wako na njaa![]()
![]()
![]()
Njaa, slums, poverty, unemployment, tribalism, insecuritySasa nchi DC na watu wake wako na njaa![]()
![]()
![]()
Bora tubadili mada maana unaleta point za kitoto hapaHamna flyover si tuchange topic.
Anaruka ruka ka mahindi ya popcornUmetoka kwenye fly over umehamia GDP
Loh! Kweli mfamaji haishi kutapatapa.
Anaruka ruka ka mahindi ya popcorn
huyu niachieni Mimi nimyoosheTatizo,huna uwezo wa kujenga hojamwaswast vs all the above na wanahema hema.
Utajiri hupimwa kwa kuangalia uwezo wa wananchi kumudu chakula, malazi na mavazi, sio GDP ya magazetini wakati mnakufa njaa na kulala kwenye mabanda ya nguruwe.GDP yao vs Yenu weka hapa pia.
Wenzake wamekimbia sijui wameenda wapi au ndio free WiFi zimezingua na vi techno batani vyaoTunakuhemea hakika,ita wenzio utakufwa.
Tuonyeshe middle economy yenye njaaNdio, nionyeshe nchi yeyote LDC iliyo na flyover.
we ulitaka nchi yenye flyover ambayo iko LDC umeambiwa ethiopia sasa nn shida😀😀😀GDP yao vs Yenu weka hapa pia.
2016 april watalii laki 7 😀😀😀😀 2015 laki 8Weka stats za 2017 hapana nyumba nyumba.
dar es salaam BRT is the longest BRT network in the world😀😀😀Mtakaa hadi mzeeke hamtapata BRT, the best in Africa.
Tunakuhemea hakika,ita wenzio utakufwa.
Bora tubadili mada maana unaleta point za kitoto hapa
Anaruka ruka ka mahindi ya popcorn
![]()
![]()
![]()
huyu niachieni Mimi nimyooshe
Tatizo,huna uwezo wa kujenga hoja
Utajiri hupimwa kwa kuangalia uwezo wa wananchi kumudu chakula, malazi na mavazi, sio GDP ya magazetini wakati mnakufa njaa na kulala kwenye mabanda ya nguruwe.
Ngombe watazaliwa wengine lakini meli itapotea kama vile tu bombardier....hahaha.Na ng'ombe wenu vp.?
Washamba mliojawa na wivu, hivi lini Hii nchi yetu tukufu ya Tanzania itaongoza ukanda huu wa Africa ya mashariki na kati? Kila Saa tupo number 2 ilhali KENYA imejaza ukabila,njaa na ugaidi.
Na je mbona hawa manyang'au kila kitu kwao rahisi kujenga? Si JKIA, Thika superhighway, SGR kilomita mia Tano wakati yetu hijulikani wapi na wapi, LAPSSET washaanza sisi hata ile ya Dar bado ndogo sana, Nchi yetu yenye rotuba na raslimali za kila aina ilhali Kenya ni jangwa la kutupwa na bado wanatubabaisha hata kwa JF. Sisi watanzania tuna shida mingi sana na jinsi kuzitatua ni sisi wenyewe wala si kuwashobokea waKenya....Hapa kazi tu slogan naona ni ya kipuzi na yakuwafumba watanzania macho. Tutafika tu wakuu.

naona leo umakalia kuti kavu😀😀😀😀Washamba mliojawa na wivu, hivi lini Hii nchi yetu tukufu ya Tanzania itaongoza ukanda huu wa Africa ya mashariki na kati? Kila Saa tupo number 2 ilhali KENYA imejaza ukabila,njaa na ugaidi.
Na je mbona hawa manyang'au kila kitu kwao rahisi kujenga? Si JKIA, Thika superhighway, SGR kilomita mia Tano wakati yetu hijulikani wapi na wapi, LAPSSET washaanza sisi hata ile ya Dar bado ndogo sana, Nchi yetu yenye rotuba na raslimali za kila aina ilhali Kenya ni jangwa la kutupwa na bado wanatubabaisha hata kwa JF. Sisi watanzania tuna shida mingi sana na jinsi kuzitatua ni sisi wenyewe wala si kuwashobokea waKenya....Hapa kazi tu slogan naona ni ya kipuzi na yakuwafumba watanzania macho. Tutafika tu wakuu.
Povu,jasho,udenda.Washamba mliojawa na wivu, hivi lini Hii nchi yetu tukufu ya Tanzania itaongoza ukanda huu wa Africa ya mashariki na kati? Kila Saa tupo number 2 ilhali KENYA imejaza ukabila,njaa na ugaidi.
Na je mbona hawa manyang'au kila kitu kwao rahisi kujenga? Si JKIA, Thika superhighway, SGR kilomita mia Tano wakati yetu hijulikani wapi na wapi, LAPSSET washaanza sisi hata ile ya Dar bado ndogo sana, Nchi yetu yenye rotuba na raslimali za kila aina ilhali Kenya ni jangwa la kutupwa na bado wanatubabaisha hata kwa JF. Sisi watanzania tuna shida mingi sana na jinsi kuzitatua ni sisi wenyewe wala si kuwashobokea waKenya....Hapa kazi tu slogan naona ni ya kipuzi na yakuwafumba watanzania macho. Tutafika tu wakuu.