Kweli shida si wewe bali nchi uliyo lelewa.Nadhani nimegonga penyewe kabisa.
Dar es salaam Raha
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nairobi hapana starehe hapo msee, av been there, bora hata uniambie Mombasa.hapo sawa naeza kam soon kujinyc...ila headquarters ya raha hii africa ni Nairobe
dar haifikii nusu mombasa kwa raha+Nairobi hapana starehe hapo msee, av been there, bora hata uniambie Mombasa.
But kama ni kweli unataka kula bata, msee uje Dar es Salaam, aisee you will abandon your family.
Ethiopia had flyovers Before 2005, saw them while on transit to somewhere exotic😎we ulitaka nchi yenye flyover ambayo iko LDC umeambiwa ethiopia sasa nn shida😀😀😀
Tumeanza na utalii,ijapokuwa ATCL bado hajaota meno tumeshadominate tourism loh!Povu,jasho,udenda.
Kama unataka kusikia tz ikiongoza ukanda huu,weka hasira pembeni utulie,tumeanza na kuizika nai kwanza ili muache kiherehere,sambamba na hayo hizi project kubwa mpaka 2020 zinaifanya kenya kuwa kama kambwa kadogo kwa tz.
Mpaka sasa baada ya uzi huu wakenya wengi mmeishaanza kuhisi kifafa baada ya kuiona dar vyema kupitia uzi huu.leo hii wote kimyaaaaaa.
Mmebaki na kelele za superhighway,tuna SGR ya 160 km/h kwa distance ya 600km.so wakati mnafikiri 1,sie tunawaza 5.
![]()
![]()
NAIROBI- A GLOBAL BRAND NAME
![]()
Nairobi Hotel-Guangzhou,China![]()
View attachment 660716
View attachment 660715 City Of Nairobi Park-Denver,Colorado-USA
![]()
![]()
![]()
Nairobi Java House- Kenya,Uganda,Rwanda
Hii mi ndege ya ukweli
Weka tuone siyo maneno kijana.
![]()
![]()
![]()
![]()
MOMBASA is way ahead![]()
hakuna ya dar es salaam
haha sasa unataka nilete picha za club seriously??????????? club??????????? iyo ni ufala ata isiolo kuna clubs kaliKwikwikwikwi unajiaibisha kabisa.