Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

97922737-D7B6-4F98-A2B0-3E888AE6F33A.jpeg
 
I once said in here, Platinumz anaandikwa kwenye Kenyan media kuliko UHURUTO, hakuna aliyekataa.
fa09da9114b2897b02927bf03c0a9ea7.jpg
 
chakula tunanunua hatupewi..ila sisis tulidonate kwa LdC
Kile kilichotoka China mwaka huu mlinunua?, mbona tunawadai pesa kibao za chakula mlichochukua kuanzia 2014 hadi leo, au kwenu Tanzania pia ipo kwenye list ya nchi mlizozikopa, kwahiyo katika hiyo 56% ya madeni yenu mliyoyatandaza dunia nzima mnakwenda kuomba misaada pia Tanzania ina share humo?
 
Nairobi hadi kina wizkid,davido wako hapa kila weekend kulewa..ata diamond alibuy nyumba nairobi..hii ni jijiji si jiji(kubwa kwa jiji)
diamond ananyumba nyingi sana nje sio nairobi tu, kwa dar tu anamiliki nyumba nyingi sana, alikiba mwenyewe ananyumba britain etc
so kumiliki nyumba sio sababu, jiji la dar kwenye starehe halina mpinzani😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Nairobi hadi kina wizkid,davido wako hapa kila weekend kulewa..ata diamond alibuy nyumba nairobi..hii ni jijiji si jiji(kubwa kwa jiji)
Sasa kama hamna artist wazuri unategemea nini?, acha waje wawape burudani wanamuziki wenu wazidi kupotea, ni kama vile Kenya ilivyo na wakimbiaji wengi wa marathon na wengine wanaenda nchi zingine ambazo hazina wakimbiaji, inakuwa ni maajabu kwa wakimbiaji wa marathon kutoka nchi zingine kwenda Kenya kuishi, labda kwenda kufanya trainings pekee, kumbukeni wasanii wenu na mziki wenu ndiyo bye bye.
 
Mapato gani mnayopata zaidi ya kula kwa macho?, ni kama kumuangalia mke wa mwenzako ukawa unamtamani kwa mbali, Tanzania inapata mara nne zaidi ya Kenya katika utalii. Mapato yanayotokana na mlima Kilimanjaro pekee, ni sawa na mapato yote ya utalii wa Kenya kwa mwaka.
Ni kama watu waje kwangu kumuona bibi ya jirani na wanilipe kwa hilo ilhali wengine waje kwako kumkamua bibi yako na walipe zaidi....Mimi faida yangu ipo sawa sababu hakuna input kubwa naweka lakini napata mapato. Sasa na hawa watalii mnaopata fiada ya zaidi ya mara NNE ya Kenya, vipi bado mko LDC?
 
Ni kama watu waje kwangu kumuona bibi ya jirani na wanilipe kwa hilo ilhali wengine waje kwako kumkamua bibi yako na walipe zaidi....Mimi faida yangu ipo sawa sababu hakuna input kubwa naweka lakini napata mapato. Sasa na hawa watalii mnaopata fiada ya zaidi ya mara NNE ya Kenya, vipi bado mko LDC?
Sasa kama unapata pesa mbona hata chakula huna, hiyo pesa unafanyia nini kama bado unaishi katika mabanda ya nguruwe?
 
Back
Top Bottom