Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

95% of your road-using tourists come from Kenya. So behave before tufunge hio border ya Namanga 😂 😂

Just like Americans, Kenyans use their superior disposable income to tour poorer neighboring countries.
Ask Uganda and Ethiopia and they have a similar story.
nyoko wewe tukifunga border ham-survive hata 2 weeks! Mtaenda ku-source food Somalia, South Sudan na Ethiopia! Na mtapeleka bidhaa zenu Zambia na, Malawi na the whole of SADC kwa sea! As for the few tourists watakuja kwa ET na Air Tanzania! Yaani Kundustan ndio mtutishe? Mbona tulizuia KQ mkaja mbio kuruhusu cargo flights?
 
Kenya ni kama kuku aliyekatwa kichwa, anapapatika tuu.
  • Walitoa 'A' levels sekondari ili wawe kama US, wakaharibu elimu yao
  • Walitoa mfumo wa regional govenments na kuweka counties kama US, corruption ikaongezeka
  • Tulipoziita ndege zetu majina ya Kilimanjaro, Serengeti, Ngorongoro n.k na wao wakatuiga.
  • Tulipojenga mfumo wa BRT wakatuiga, sasa imewashinda
Hawawezi anzisha vitu vyao wenyewe, ni kuiga iga tuu.
Sasa hivi wanapambana ligi yao ya soka iwe kama yetu,wakisikia vilabu vyetu vinafanya vyema kimataifa uwa wanaumia kweli,kwenye muziki ndio tulishawatia middle finger kitambo,hata wenyewe wanajua,wamebaki kujipendekeza tu,kipchoge akishinda marathon mkunya but diamond akitoa hit song utawasikia east africa
 
Image
 
Ironically, one distinctive aspect of Kenya is its lack of distinctiveness
Na wanataka wakitembea duniani kote kufanane na Kenya kwa akili zao zilivyo ndogo.
They don't appreciate diversity NairobiWalker ni good example.
They don't have identity and culture.

Ndo hao wakija dar wanataka waione exactly Nairobi CBD. Kwanza siku hiz kufungua business kubwa posta ni kama unapoteza money tu labda hotel na Airbnb. Mtu anaishi kinondoni, haendi Zanzibar, posta anaenda kufanya nini actually.

Lakin Nairobi karibu kila kitu Kiko CBD. Mabasi kibao destination ni CBD. Niambie Kuna basi gani zinaishia posta, Daladala zenyew ni route tatu tu za tegeta, makumbusho na Gongo la mboto ambaza nazo zitaondolewa BRT 3 and 4 zikiisha. Hizo bajaji za ferry ni siasa tu. Ila hazipaswi kuwa pale. Ni suala la muda tu zitaondolewa
Njoo Nairobi Sasa. Tembelea pale Archives uone foleni la matatu, tazama pale sanamu la tom mboya matatu kila mahali, huko downtown ni usipokuwa makini matatu hii hapa mguuni. Yaani ni typical failed African city in public transport
 
watu wanakwenda mbele miaka 100 kuna binaadamu wanaenda nyuma miaka 300 hvi unataka kunambia even population ya leo lamu ni sawa na miaka 100 iliopita?

kwann hua munatafuta kichaka cha kujificha kwenye ukweli? au lamu haiko kwenye list ya counties masikini kenya? si tunaona vijana karibu 80% wameharibika na madawa ya kulevya lamu au kuna lamu nyingine kenya? 😂😂😂😂
Pretending to know Lamu and making such comments only makes you foolish..
Lamu County as a whole has a population of about 150,000 people
Lamu island is a very tiny fraction of Lamu county. It’s in Lamu island where there is a no vehicle policy not the whole county..
Alafu stori ya drugs imeingilia wapi na no vehicle policy? Unaokota tu kila tope unaweza kufikiria kichwani just to make lamu look dirty?
Ama ni juu Despite Lamu’s size, it’s taking away tourists rivaling your dusty fishing village
IMG_5601.jpeg


View: https://youtu.be/pSthUmKhAN0?si=cZNn7pNbBXXcIENL

View: https://youtu.be/RjcQEnaLyFo?si=cRCdTffdDbMkHHDT
 
Back
Top Bottom