Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Elimu ya Sisiemu ni ovyo. Wanatetea Serikali with all their might. 🤣🤣 Wako zile time za KANU.
Siasa za kenya ni upumbavu,siku akitawala mjaluo au mkisii ndio nitaona kweli kundustan nchi ya kidemokrasia,but ni usanii tu na ukabila hamna demokrasia chochote
 
Haha hiyo ilikuwa showoff na anyway hiyo nyumba haiko mjini na amefanikiwa kulipia gharama za kuwekewa umeme .
Nyumba ngapi Nairobi hazina umeme wala maji
Picha ya Kenya niliyoquote kwani ipo mjini? It was in rural Kenya and I responded by posting the same type of house in rural tanzania Sasa unatafuta pa kuorokea.

About umeme, this picture summarizes everything. Tunajua ni wapi ndio Kuna nyumba hazina umemekatinya Nairobi na Dar
FB_IMG_1741938384583.jpg


Mambo na maji usitaje wakati sewer system yenyewe hamjui ni nini. Water system and sewer system go hand in hand
Dofoto_20250514_010133434.jpg
 
Next.., you are doing great, hii ndio level nataka mucheze., clips na mapicha.,

Sijui hilo.,, ila ninalojua na naweza kudhibitisha Mombasa imeizidi Dar kwa mengi, kando na Dar hakuna jiji Tanzania iko level ya Mombasa., a screaming fact, ndio inakuuma, unatafuta pa kuponda ujiliwaze. Hamna jibu.
Hivi hapo kibera uwa mnapumua vp na uvundo huo,halafu ni km 1 toka cbd 😀
 

Attachments

  • VID-20250514-WA0005.mp4
    2.1 MB
A 51st state wannabe soon wanageuka kuwa east African Chinese province.

Hahah ....,..maeee.....
View attachment 3332979
Pamoja na China kuwa marafiki zetu wa siku nyingi janja janja yao hawawezi kuleta Tanznia kwa heshima waliokuwa nayo kwetu na wanajua mismamo yetu na foreign policy yetu inataka nini? ujinga ujinga inawapelekea wasioijitambua tuu
 
Picha ya Kenya niliyoquote kwani ipo mjini? It was in rural Kenya and I responded by posting the same type of house in rural tanzania Sasa unatafuta pa kuorokea.

About umeme, this picture summarizes everything. Tunajua ni wapi ndio Kuna nyumba hazina umemekatinya Nairobi na DarView attachment 3333462

Mambo na maji usitaje wakati sewer system yenyewe hamjui ni nini. Water system and sewer system go hand in hand View attachment 3333466
Umeona utofauti wa hiyo picha umeme kwanza .
Umeme umespread karibia Kila eneo la Tanzania maeneo ambayo haya umeme ni kama central Tanzania ambapo Kuna mbuga ya mikuni ambayo inaenda kukutana na mbuga ya selous the same kuanzia moro, Dom, to kigoma
Kenya umeme umeconcetrate maeneo ya southern tuu , kwa hiyo kusema accessibility ya umeme kwenu ni Bora wakati umeelekezwa eneo moja kuhusu maji bado hayajaweza tosha na majority wanategemea maji ya kusambaziwa sababu bado uhitaji ni mkubwa sana kulingana na population
Ishu ya vyoo walau Tanzania karibia Kila nyumba Ina choo hata kama ni shimo ila Kenya bado Kuna flying toilets .🤣🤣🤣🤣
 
Picha ya Kenya niliyoquote kwani ipo mjini? It was in rural Kenya and I responded by posting the same type of house in rural tanzania Sasa unatafuta pa kuorokea.

About umeme, this picture summarizes everything. Tunajua ni wapi ndio Kuna nyumba hazina umemekatinya Nairobi na DarView attachment 3333462

Mambo na maji usitaje wakati sewer system yenyewe hamjui ni nini. Water system and sewer system go hand in hand View attachment 3333466
A map from the imperialists aiming to defile Tanzania
 
Hakuna aliyekataa point ni ninyi kupost nyumba nzuri nzuri na kusema ati ndo zimejaa "ushago" kwenu wakati nyumba za tope na nyasi ndo zimejaa. 😂😂😂
Nani kasema hivyo? We have mud and grass-thatched houses in rural Kenya ila kwenye baadhi ya maeneo
 
wow nice render 😂😂😂
Wewe kijana wa Tandale utaimb huu wimbo wa render hadi lini? Don't you get tired? Projects zote that you shouted render zimejengwa na mengi yanatumika. Too desperate!
 
A map from the imperialists aiming to defile Tanzania
When the same imperialists give positive data/information about your country you shout at the top of your voices in excitement and sing songs of praise to them! What a bunch of hypocrites!!!
 
Back
Top Bottom