Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe una level mzee.? Jitu fala from mombasa .? 🤣🤣🤣🤣 huna level yoyote mpumbavu mmoja.. unaishi vijumba vya udongo huko mombasa unakuja hapa kuzungumza habari za levels.?
Post picha ama clips?????., nitakuelewa, la sivyo hatusemezani., cheza level yako utashinda🤣🤣.,
 
Hujaweza fanikisha jibu hata hoja .
Umeshindwa prove Kila kitu haya unataka tuanze mada gani,.
Trains
Slums
Ports au
Chagua
Ulisema sijajibu hoja yoyote yako, nataka nione hizo hoja zako.., kwa vile hakuna la maana umeandika humu.,
 
Wewe jamaa ni taahira. Unatetea maintream media, then dakika sifuri unasahau hata ulichokiwa unateyea.
Learn to use the right words. Hoja yangu ilikua on how mainstream media still controls the narrative. Sikusema ni nawatetea. Wewe ndio umekuja na mambo ya TV as if it's the only source of information used by the mainstream media. Ndio maana nimekuambia ukona shallow reasoning.
 
Hua unadeal na hawa bongolalas vilivyo. 👏👏🤣🤣🤣
Jamaa anasema eti hizo nyumba zao chakavu za uswazi ziko na sewer system wakati even some parts of their CBD ndio haina hata hiyo sewer system!
 
Learn to use the right words. Hoja yangu ilikua on how mainstream media still controls the narrative. Sikusema ni nawatetea. Wewe ndio umekuja na mambo ya TV as if it's the only source of information used by the mainstream media. Ndio maana nimekuambia ukona shallow reasoning.
Hoja ya mwanzo ilikuwa kwamba serikali imezuia kuandika umaskini wa Tanzania baadae ukaleta comment x ikiwa na habari ya umaskini , sasa hoja inabaki imekuwaje kukawa watu wanaweza kutoa taarifa za umaskini ambao wewe ulisema ni marufuku
 
Next.., you are doing great, hii ndio level nataka mucheze., clips na mapicha.,

Sijui hilo.,, ila ninalojua na naweza kudhibitisha Mombasa imeizidi Dar kwa mengi, kando na Dar hakuna jiji Tanzania iko level ya Mombasa., a screaming fact, ndio inakuuma, unatafuta pa kuponda ujiliwaze. Hamna jibu.
Leta prove na sio maneno nimekuletea Mombasa slums
Na kumbuka hapa dar es salaam Haina recorded slums .
 
Next.., you are doing great, hii ndio level nataka mucheze., clips na mapicha.,

Sijui hilo.,, ila ninalojua na naweza kudhibitisha Mombasa imeizidi Dar kwa mengi, kando na Dar hakuna jiji Tanzania iko level ya Mombasa., a screaming fact, ndio inakuuma, unatafuta pa kuponda ujiliwaze. Hamna jibu.
Clips na picha ndio msingi wa hii battle..

Mtu mpumbavu kama wewe unakuja kujiona mjanja kwa kuleta empty talks. 🤣🤣🤣 hizo sisi hatuchukui. Kuandika kwenyewe hujui, hakuna chochote unachojua fluently neither English nor Swahili.. but you are here claiming of being smart..🤮🤮. 🚮.
 
Learn to use the right words. Hoja yangu ilikua on how mainstream media still controls the narrative. Sikusema ni nawatetea. Wewe ndio umekuja na mambo ya TV as if it's the only source of information used by the mainstream media. Ndio maana nimekuambia ukona shallow reasoning.
Typical Jaluo shallow minds.

Wewe umesema Serikali ina-control media inaficha taarifa, nikakwambia huu ni ulimwengu wa smartphone, huwezi kuficha.

Naona funza za Murang'a zimeshawapanda mpaka vichwani.

Zero reasoning
 
Next.., you are doing great, hii ndio level nataka mucheze., clips na mapicha.,

Sijui hilo.,, ila ninalojua na naweza kudhibitisha Mombasa imeizidi Dar kwa mengi, kando na Dar hakuna jiji Tanzania iko level ya Mombasa., a screaming fact, ndio inakuuma, unatafuta pa kuponda ujiliwaze. Hamna jibu.
Hakuna mtu anaishi kwa nyumba za mabati dar ebu angalia umaskini wenu huu


View: https://youtu.be/a0HBEpToGKk?si=UUs6ecDnjozkn2GK
 
Clips na picha ndio msingi wa hii battle..

Mtu mpumbavu kama wewe unakuja kujiona mjanja kwa kuleta empty talks. 🤣🤣🤣 hizo sisi hatuchukui. Kuandika kwenyewe hujui, hakuna chochote unachojua fluently neither English nor Swahili.. but you are here claiming of being smart..🤮🤮. 🚮.
Hawez leta chochote
 
Back
Top Bottom