Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You can go your usual lane if you want to but hata wewe unajua Kuna freedom huwezi enjoy hapo Vumbistan ila ukija Kenya utaenjoy. Your human rights activists come to Kenya all the time to voice their bold opinions.
Kama kweli mngekuwa na democracy mngeandamana kushurutisha familia za Moi na kenyatta warudishe ardhi walizowaibia, badala ya kurundikana kwenye slums kama matenga ya nyanya mkipiga domo eti mna democrasia.
 
Baas! Hapa sasa , tulieni hapa, ndio level yenu🤣🤣🤣🤣🤣🤣, mtazuiya kujiaibisha kila wakati,., picha na clips., sawa?
Kwikwi umeishiwa hoja dogoo, huna jipya umebaki na matusi ambayo ni dalili ya mtu aliyepanic kwa kupigwa na nondo a.ka hoja
 
Keko ni eneo la viwanda toka zamani ila kulikuwa na maeneo ya makazi pembeni, sasa kulingana na wingi wa watu Kuna baadhi waliuziwa maeneo yaliyopaswa kuwa ya viwanda. Kinachofanyika sasa hivi wale wenye viwanda ndo wanawanunua wakazi ambao walikuwa wamevamia bila ugomvi wala kelele .
Na kulingana na Sheria za Tanzania residential inaweza badilishwa kuwa industrial au commercial ila baada ya kufuata taratibu zote na wakazi wa eneo husika waridhie ila viwanda vingi vimeopt nje ya mjii 🤣🤣🤣🤣
You are basically confirming what we've been saying here all along. Dar and poor planning go hand in hand. Wacha kutumia maneno mengi kutetea uozo. Dar might be the most disorganized and poorly planned city this side of the Sahara
 
You are basically confirming what we've been saying here all along. Dar and poor planning go hand in hand. Wacha kutumia maneno mengi kutetea uozo. Dar might be the most disorganized and poorly planned city this side of the Sahara
Hakuna aliyekataa kwamba dar haikupangwa mwanzo kavile Nairobi ambavyo haikupangwa na kujikuta imebeba the highest number of slums ila haiondoi ukweli Kuna Ina tatizo la unplanned settlement ila Nairobi Ina tatzo la slums na ndo maana unaweza Kuta nyumba nzuri sana zimejengwa kwenye hizo unplanned settlement zikiwa na necessities zote ambazo hutazikuta kwenye slums.
 
The media still controls the narrative. Wacha kujifanya fake woke na a very small percentage of your population ndio wanamiliki smartphones.
Watu hawaangalii TVs siku hizi. Mbona umekuwa kiazi sana.

Hata TZ, media yenye watazamaji wengi ni Azam na ni kwasababu inaonesha mpira.

Mimi kwangu nina TV lakini, huwa siangalii
 
Kwikwi umeishiwa hoja dogoo, huna jipya umebaki na matusi ambayo ni dalili ya mtu aliyepanic kwa kupigwa na nondo a.ka hoja
Just point hiyo hoja yako tuone? You have spewed nothing here, mko hovyo!. , unaandika tu, bora umejibu, better keep quiet.., Mitanzania nani aliwa laani 🤣🤣🤣🤣
 
Watu hawaangalii TVs siku hizi. Mbona umekuwa kiazi sana.

Hata TZ, media yenye watazamaji wengi ni Azam na ni kwasababu inaonesha mpira.

Mimi kwangu nina TV lakini, huwa siangalii
The fact that you think TV pekee is the only source of information shows how shallow you reason.
 
Umenyooka, ujinga wacha vijiweni🤣🤣🤣🤣.
Mtu aliyekosa hoja hukimbilia taarabu za matusi ikiwa na maana hajaelimika na ni mpumbavu.
Yaan chizi anaiba taulo ukiwa bafuni halafu umkimbizw SI utaonekana chizi, sasa ndo wewe yaanini kuanza kukimbizana na chizi wewe ambaye huna hoja 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom