Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahiyo English ndo inakufanya uwe msomi, ndo maana mnaendelea kuibiwa tu, usomi ni pamoja na kujua kuiba bila kelele.
Mna GDP ya 130bil usd mmetuzidi kwa almost 50% ila mkija kwenye revenue collection mmetuzidi 1.6tril ambayo hazifiki hata 10 % tukiwambia hamna kitu mnaona tunawaonea usomi wenu ni kwenye maneno maneno🤣🤣🤣🤣na matusi
Nani alikuambia English ama kujua lugha ile yeyote ndio kigezo cha usomi kilaza, ni wewe unasema sio mimi.., hapa sio issue na lugha Wala nini., ujinga wenu ni wa ukoo., na nyie kuto jadiliana na mataifa mengine mitandaoni mbali na Kenya ni kwa sababu ya language barrier, that was the context, usipotee njia tena kilaza..,
 
Labda tukianza tu kwenye chuki kati ya Kenya na Tanzania nani anaongoza kwa kuwa na chuki na majirank zake?
Tukija kwenye mitandao tu Kuna chuki kati
Kenya versus Nigeria
Kenya versus Uganda
Kenya versus tanzania
Kenya versus Sudan
Actually ni karibia Kila nchi mnaugomvi nazo
Haya tutajie Tanzania Ina ugomvi na nchi gani
Chuki hapo pekee ni Moja. Kenya vs Tanzania. Hizi zingine ni wishful thinking. For instance here is what Nigerians think of Kenya. They actually prefer Kenya over Tanzania. Shida yenu mkichukia mtu mnadhani atachukiwa na Kila mtu.😂😂😂


View: https://youtu.be/zUw0Z-Tcsx4?si=6Zg-1LUImNYr4QzF
 
Kwahiyo English ndo inakufanya uwe msomi, ndo maana mnaendelea kuibiwa tu, usomi ni pamoja na kujua kuiba bila kelele.
Mna GDP ya 130bil usd mmetuzidi kwa almost 50% ila mkija kwenye revenue collection mmetuzidi 1.6tril ambayo hazifiki hata 10 % tukiwambia hamna kitu mnaona tunawaonea usomi wenu ni kwenye maneno maneno🤣🤣🤣🤣na matusi
Na Kenya wanakusanya kodi kinoma.

Ukiwa na duka la reja reja, lina vinywaji, unga, vifaa vya umeme, na pombe hayo ni maduka 04
 
Nani alikuambia English ama kujua lugha ile yeyote ndio kigezo cha usomi kilaza, ni wewe unasema sio mimi.., hapa sio issue na lugha Wala nini., ujinga wenu ni wa ukoo., na nyie kuto jadiliana na mataifa mengine mitandaoni mbali na Kenya ni kwa sababu ya language barrier, that was the context, usipotee njia tena kilaza..,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 majitu mapungu bhana. 🤣🤣🤣🤣
 
Democracy kwa wa kikuyu and kalenjin tuu?
You can go your usual lane if you want to but hata wewe unajua Kuna freedom huwezi enjoy hapo Vumbistan ila ukija Kenya utaenjoy. Your human rights activists come to Kenya all the time to voice their bold opinions.
 
So in Dar es salaam a residential area can become an industrial zone overnight? Yani all of a sudden watu na viwanda pua na mdomo?

Anyway, it's evident in all our residential areas. Planning was thrown out of the window
Keko ni eneo la viwanda toka zamani ila kulikuwa na maeneo ya makazi pembeni, sasa kulingana na wingi wa watu Kuna baadhi waliuziwa maeneo yaliyopaswa kuwa ya viwanda. Kinachofanyika sasa hivi wale wenye viwanda ndo wanawanunua wakazi ambao walikuwa wamevamia bila ugomvi wala kelele .
Na kulingana na Sheria za Tanzania residential inaweza badilishwa kuwa industrial au commercial ila baada ya kufuata taratibu zote na wakazi wa eneo husika waridhie ila viwanda vingi vimeopt nje ya mjii 🤣🤣🤣🤣
 
You can go your usual lane if you want to but hata wewe unajua Kuna freedom huwezi enjoy hapo Vumbistan ila ukija Kenya utaenjoy. Your human rights activists come to Kenya all the time to voice their bold opinions.
On record tumehifadhi watu wengi sana ambao walikuwa wanapigania maslahj ya nchi zao kuliko wote waliowahi Kaa Kenya. Usidanganywe na huyo mmoja tu ambaye nae ni kwa sababu ameolewa huko🤣🤣🤣🤣
 
Wewe uliyepost picha tupe taarifa kamili kwanini amepigwa, lete habari kamili sio kichwa cha habari.
Alipigwa kwasababu alifichua aibu ya wanafunzi kusoma chini ya mti. Uki expose umaskini au shortcomings za serikali huko bongoslum utapigwa au upate other consequences. Huko kazi ni kusifu CCM na Mama, kila mahali lazima muweke picha za Samia ili ionekane nchi iko sawa. 🤣🤣🤣
 
Alipigwa kwasababu alifichua aibu ya wanafunzi kusoma chini ya mti. Uki expose umaskini au shortcomings za serikali huko bongoslum utapigwa au upate other consequences. Huko kazi ni kusifu CCM na Mama, kila mahali lazima muweke picha za Samia ili ionekane nchi iko sawa. 🤣🤣🤣
Unajua huna akili wewe!
Unafichaje taarifa zama hizi za mitandao ya kijamii?
 
Alipigwa kwasababu alifichua aibu ya wanafunzi kusoma chini ya mti. Uki expose umaskini au shortcomings za serikali huko bongoslum utapigwa au upate other consequences. Huko kazi ni kusifu CCM na Mama, kila mahali lazima muweke picha za Samia ili ionekane nchi iko sawa. 🤣🤣🤣
Kwani ni lazima uongee uongo ndio uwe relevant.?
 
So huyu environmental activist mmoja anafanya mnafikiria ni mataifa ya wazungu zinapinga maendeleo yenu., huyu ni environmentist an advocate of clean energy, na pia anapinga ujenzi wa Nuclear plant in Kilifi hapa Kenya., so nyie mtasema Tanzannia mnaonewa na Kenya kwa akili zenu? mko hovyo kweli..,
1747209531549.png
 
On record tumehifadhi watu wengi sana ambao walikuwa wanapigania maslahj ya nchi zao kuliko wote waliowahi Kaa Kenya. Usidanganywe na huyo mmoja tu ambaye nae ni kwa sababu ameolewa huko🤣🤣🤣🤣
Umesema tunachukiwa mtandaoni, nikakuletea source ya mtandaoni inayoonyesha tunapendwa na hiyo hiyo nchi uliyosema inatuchukia hata kuliko wanavyompenda, saahii umegeuza goli unaongelea kuhifadhi wapiganaji, nikiletea source utageuza goli tena so heri nikuache ujifurahishe.😂😂
 
Back
Top Bottom