Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Issue haikua bomba kujengwa ama kutojengwa, ni fikra zenu potovu eti Kenya inawaonea ila it's one activist, who opposes anything that undermines environment, be it in Kenya or Tanzania, nyie mnasoma hujuma tu(u are merely reading mischief), wajinga kweli., fikra za kifukara hizi, can't understand a thing, ndio jamii zenu zilivyo, mtu akikukosoa wewe unaona hakutakii mema., ndio mnaoneana wivu wenyewe kwa wenyewe na kurogana na kuuwa albino., laana ya ukoo hii🤣🤣🤣🤣
Fikra potovu❌ fikra potofu✅. 🤣🤣🤣 weww nenda kwanza kajifunze maneno unatupigia kelele humu
 
Issue haikua bomba kujengwa ama kutojengwa, ni fikra zenu potovu eti Kenya inawaonea ila it's one activist, who opposes anything that undermines environment, be it in Kenya or Tanzania, nyie mnasoma hujuma tu(u are merely reading mischief), wajinaga kweli., fikra za kifukara hizi, can't understand a thing, ndio jamii zenu zilivyo, mtu akikukosoa wewe unaona hakutakii mema., ndio mnaoneana wivu wenyewe kwa wenyewe na kurogana na kuuwa albino., laana ya ukoo hii🤣🤣🤣🤣
Acha kupaniki dogo, hapo ni dalili za kuishiwa hoja
 
Tanzania inaficha habari halafu unapost habari za Tanzania pumbavu kweli! 😂😂😂

Kwanini serikalini yenu inaficha taarifa ya manyanyaso wanayopitia wakunya wanaoishi karibu na kambi za majeshi wa mabwana zenu?
Serikali yetu imekua vyombo vya habari. 🤣🤣🤣 Enyewe wewe huna akili. Wenzako huko bongoslum washakuambia the cases are under reported, tumeona journalist wanapigwa na bado uko hapa unajipiga kifua. 🤣🤣
 
Serikali yetu imekua vyombo vya habari. 🤣🤣🤣 Enyewe wewe huna akili. Wenzako huko bongoslum washakuambia the cases are under reported, tumeona journalist wanapigwa na bado uko hapa unajipiga kifua. 🤣🤣
Wamepigwa na walimu sababu umeisoma ni ipo🤣🤣🤣🤣
 
Mombasa ni tanga iliyochangamka.
Ilhali imeizidi Darslinga🤣🤣🤣🤣..,
Ukubwa wa Darslinga ndio hii hapa.,
👇👇
1692805823875.png

1692805778963.png

6927386831_2ed53fcd0d_z.jpg

images - 2025-04-12T083800.116.jpeg


Dense Mombasa, ukubwa zaidi ya Dar CBD
1719316187427.png

IMG_20231030_162419.jpg

Screenshot_2024-07-31-12-09-26-18_f9ee0578fe1cc94de7482bd41accb329.jpg

FB_IMG_1734878281154.jpg

1745760464181.jpg

1735127853437.jpg
 

Attachments

  • images - 2025-04-12T083655.807.jpeg
    images - 2025-04-12T083655.807.jpeg
    48.7 KB · Views: 23
Serikali yetu imekua vyombo vya habari. 🤣🤣🤣 Enyewe wewe huna akili. Wenzako huko bongoslum washakuambia the cases are under reported, tumeona journalist wanapigwa na bado uko hapa unajipiga kifua. 🤣🤣
Ni wajinga ProMax🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Serikali yetu imekua vyombo vya habari. 🤣🤣🤣 Enyewe wewe huna akili. Wenzako huko bongoslum washakuambia the cases are under reported, tumeona journalist wanapigwa na bado uko hapa unajipiga kifua. 🤣🤣
Huna hoja ndio maana unajikaanga na mafuta yako mwenyewe.
 
Hizi taarabu za Mombasa kwa mapapai baki nazo huko.
Sina muda wa kusoma taarabu.
Elimu ndio tatizo, nimekuelewa pumzika Babu🤣🤣🤣🤣., pole kwa kutesa akili yako duni, naomba msamaha🙏🙏🤣🤣
 
Elimu ndio tatizo, nimekulewa pumzika Babu🤣🤣🤣🤣., pole kwa kutesa akili yako duni, naomba msamaha🙏🙏🤣🤣
Elimu yako Ina mashaka sana 🤣🤣🤣 hata the way una present seems uko so desperate .
Shida Ni Nini KAZI au njaa ? Sema usaidiwe Kuna mwenzako alikuwa hivyo siku hizi katulia tulii
 
Kuelimisha Mtanzania ndio tatizo, ni ngumu sana, lazima utumie nguvu nyingi! Mko hovyo!.,
Kuelimisha mkenya ni KAZI sana maana Huwa anajifanya anajua kumbe hajui, ndo maana Kila siku mainjinia wenu wanadondosha maghorofa wakijifanya wanajua kumbe horaaaa
 
Elimu yako Ina mashaka sana 🤣🤣🤣 hata the way una present seems uko so desperate .
Shida Ni Nini KAZI au njaa ? Sema usaidiwe Kuna mwenzako alikuwa hivyo siku hizi katulia tulii
Wewe ni mgeni humu, wote hapa huwa nawanyonga kwa facts, tuliza kende., hamna lolote kwangu🤣.,
 
Back
Top Bottom