Hiyo KQ ambayo imekodi ndege kwa familia ya Kenyatta?KQ haikupata hasara kwa the previous financial year, punguza kuropokwa if you can't use proper analogies.
Hiyo KQ ambayo imekodi ndege kwa familia ya Kenyatta?KQ haikupata hasara kwa the previous financial year, punguza kuropokwa if you can't use proper analogies.
Wewe jamaa.Do you have a majority stake in anything apart from Government parastatals.
Airtel is 49% owned by the Government. Lengo ni kuwaacha waendeshe tu, kwasababu govt ingekuwa majority shareholder ingetakiwa kuiendesha na kufanya maamuzi wakati tayari ina 100% TTCLAirtel - India
Vodacom is 25% owned by the publicVodacom - UK
Halotel is still a new company, but will have to affloat 25% of the shares.Halotel - Vietnam
Ndio Kwa maana Magufuli alikua anataka kutake over Airtel na akashindwa. 🤣🤣🤣
Kindly tumia neno Nyangau. 😂😂😂Wewe jamaa.
Kenyans mna tume huru ya uchaguzi na mna a working court.
Why so desparate kupata madaraka nje ya mfumo wenu wa uchaguzi??
View: https://x.com/Goldfield6/status/1921456015544913972?t=SK7G7vaGtXG8nPkXELt8aw&s=19
in this context private company unamaanisha a company which is not a parastatal ama a company which is not listed publicly through an IPO. Hueleweki wewe.Wewe jamaa.
How can you have majority shares in a compamy, and still a company remain a private company?
Airtel is 49% owned by the Government. Lengo ni kuwaacha waendeshe tu, kwasababu govt ingekuwa majority shareholder ingetakiwa kuiendesha na kufanya maamuzi wakati tayarinina 100% TTCL
Vodacom is 25% owned by the public
Halotel is still a new company, but will have to affloat 25% of the shares.
What's the difference between a parastatal and a company in your opinion?in this context private company unamaanisha a company which is not a parastatal ama a company which is not listed publicly through an IPO. Hueleweki wewe.
Ni kweli siwezi kuelewa maana ninyi wenyewe hamuelewi.Huwezi elewa Kenya. Focus kwa Bibi Chura.
A parastatal is a state owned corporation or company.What's the difference between a parastatal and a company in your opinion?
Thats what i mean'tA parastatal is a state owned corporation or company.
Rironi-Mau Summit expressway(dual carriage) inaanza huu mwaka, in June kabla ya Nairobi Mombasa expressway..,Th
The worst road to have ever driven in my entire life. In my opinion hii ndio ingefanyiwa dualing before that ya Mombasa maana Mombasa kuna option ya train
Toll road??Rironi-Mau Summit expressway(dual carriage) inaanza huu mwaka, in June kabla ya Nairobi Mombasa expressway..,
View attachment 3331049
Acha wazijenge hapa wanaenda kuuwa reli yao. Kwa mfano kwa sasa ambapo hakuna highway ya Nairobi Mombasa ila abiria wa wakipanda treni wameshuka kwa 200,000 siku kukiwa na tolls wenye mabasi watapandisha kidogo na watakuwa wanawahi kuliko hata treni hivyo treni automatically itashuka .Toll road??
Hiyo SGR train ilikuwa mbwembwe na siasa tu.Acha wazijenge hapa wanaenda kuuwa reli yao. Kwa mfano kwa sasa ambapo hakuna highway ya Nairobi Mombasa ila abiria wa wakipanda treni wameshuka kwa 200,000 siku kukiwa na tolls wenye mabasi watapandisha kidogo na watakuwa wanawahi kuliko hata treni hivyo treni automatically itashuka .
Tukija kwenye malori sasa hivi Kuna malori ya umeme.
Wafanyabiashara watahamia kwenye malori ya umeme na gharama ya mafuta zitapungua ila watakimbilia kulipa toll free ili watembee fasta na mzigo utafika haraka sana kuliko kutumia treni.
Acha wqjenge barabara🤣🤣🤣🤣
Yaan hapa naona Samia anawachelewesha ilitakiwa tumvute mseveni chemba tumwambie wewe kuja tujenge reli itayopasua katikati ya nchi mpaka jubaHiyo SGR train ilikuwa mbwembwe na siasa tu.
Hakuna mtu anaitaka tena.
Haina tofauti na Meter gauge.
Museven yeye anasikilizia tu. Ingawa kutoka Mombasa Malaba ni karibu sana, ndio maana anataka kujenga reli yake aunge Malaba.Yaan hapa naona Samia anawachelewesha ilitakiwa tumvute mseveni chemba tumwambie wewe kuja tujenge reli itayopasua katikati ya nchi mpaka juba
Sidhan kama Rwanda bado Yuko interested Tena maana wenyewe walitaka wafike goma sasa Burundi wako katika mazungumzo na Kongo kufikisha mpakani.Museven yeye anasikilizia tu. Ingawa kutoka Mombasa Malaba ni karibu sana, ndio maana anataka kuje ga reli yake aunge Malaba.
Kenya ndio wamekwama kila mtu hataki kuwakopesha pesa, ya kutoa reli Mombasa kwenda Malaba. Ruto amezurula sana kutafuta pesa bila mafanikio.
Unaona hii ni masterplan yetu.
Dar- Singida (complete)
Singida/Makutupora- Tabora contractor yuko kazini.
Tabora Isaka (Contractor kazini(
Mwanza Isaka Shinyanga (64%)
Tabora Kigoma (Contractor yuko kazini)
Hapo Burundi wameunga Kigoma (Mkandarasi yuko kazini) na Burundi sisi ndio tunawasaidia kila kitu, maana hata umeme wa kusukuma SGR hawana.
Burundi na Rwanda wana beef, kwahiyo kila mmoja anachukulia Tabora na Isaka Shinyanga.
Lakini pia Museveni ana OPTIONS MV Mwanza imekamilika, na TPA wanataka kujenga Dry Port Fela, Mwanza.
Daraja la Magufuli limekamilika. Hivho Kama Kenya wakizingua, Museveni anachukulia mizigo yake Mwanza then anachagua kupitishia Magufuli bridge to Mutukula border au kupitia ziwa Victoria with MW Mwanza.
View attachment 3331140
Rwanda ni landlocked, hana option nyingine.Sidhan kama Rwanda bado Yuko interested Tena maana wenyewe walitaka wafike goma sasa Burundi wako katika mazungumzo na Kongo kufikisha mpakani.
TAZARA wameshapewa Wachina (PPP). Wanafanya revamping.Kule kalemie mpaka Lubumbashi trc wanashirikiana na Kongo kirekebisha Ile reli ya zamani maana tumechoma na manyanyaso ya wazambia
Who said it is? Nairobi has them all over the place. The only difference is that in Nairobi, you'll never find apartments in posh estates while in Dar it's the epitome of poshness.Kwani kujenga appartmenta ni dhambi wewe mbunda.?