Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndiyo kampuni gn hiyo? Au ndiyo miongoni mwa zile kampuni 1000 za kikenya hapa bongo zenye jumla ya mtaji $500m? Yani kampuni 1000 za wakenya mtaji wake unazidiwa na kampuni mbili za watanzania kule Kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Tulia, you are just a watchman na kazi yako ni kubeba rungu huko airport. Jamii Telecom plays with the big boys, wewe ngoja tukianza kuongelea mawatchman tutakuita.


View: https://x.com/janetmachuka_/status/1697164039858634930?t=_97gMlCkHTa49vtF07Pcrg&s=19
 
Back
Top Bottom