concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
But fully owned by Tanzania people pasipokutegemea misaada ya marekaniYet another small bank. 🤣🤣 Hio hata inaweza nunuliwa na Coop bank na wasiende hasara.
View attachment 3330247
Rudi kajifunze elimu ya shares haihesabiki kwa wingi wa watu bali capital iliyowekwa we jua tu dhamani ya mtaji wa asilimia 40 % ya safaricom inamilikiwa na foreigner Vodafone inabaki 60% ambayo ndo gombania goli na serikali. Free flow shares za 25% ya total value ndo wakenya wengi mnaangukia kwa sababu hakuna mtaji. TuSasa hio hesabu nimekufanyia na the minimum of 1000 shares Kwa hio 2nd band to get the worst case scenario. Na ningepiga hesabu na the median of 5k shares je?