concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
Yaan kampuni Haina hata 0.01 market share ndo unatuleteaWacha hata 40% serikali, Jamii Telecom is 100% owned by a Kenyan.
Yaan kampuni Haina hata 0.01 market share ndo unatuleteaWacha hata 40% serikali, Jamii Telecom is 100% owned by a Kenyan.
Leo nayo utaumia sana kijana. 🤣🤣🤣 Ukijaribu kuinua kichwa unapatana na rungu.Yaan kampuni Haina hata 0.01 market share ndo unatuletea
Internet provider? Kweli wewe ushachoka kabisaWacha hata 40% serikali, Jamii Telecom is 100% owned by a Kenyan.
TUmetoka kwenye telecommunication unataka tuje isp? Haya naona unarukaruka tuLeo nayo utaumia sana kijana. 🤣🤣🤣 Ukijaribu kuinua kichwa unapatana na rungu.
View attachment 3330350
Nilidhani ni Banks pekee kumbe hadi kampuni za mawasiliano sio zenu. 🤣🤣
Kwa hivyo huko bongoslum kampuni za simu sio Internet providers? 🤣🤣 Maajabu.Internet provider? Kweli wewe ushachoka kabisa
TUmetoka kwenye telecommunication unataka tuje isp? Haya naona unarukaruka tu
We mzee rudi tu Kwa Ile shimo umetoka. Imeandikwa tu vizuri Vodacom is acquiring VKL. Enyewe uzee ni mbaya.
Haha internet provider still yet Kuna specialized companies ziko specific kwa ajili ya kutoa huduma ya fixed internet mfano simbanet. Kwa hiyo hicho ulicholeta ni kamfano kadogosa sana ka internet provider na hata ukiangalia hakana mapato kwenye mawasiliano ya simu voice calls🤣🤣🤣🤣Kwa hivyo huko bongoslum kampuni za simu sio Internet providers? 🤣🤣 Maajabu.
Vodam, 25% is publicly listed in DSE.Vodacom 75% owned by wazungu 🤣🤣🤣
Yaan Leo mpaka unaenda kuokoteza vikampuni vya kuuza internet ili kumuonesha vibamilikiwa na wakenya hata dhamani ya robo ya hisa tulizowekeza kwenye safaricom hazifikiKwa hivyo huko bongoslum kampuni za simu sio Internet providers? 🤣🤣 Maajabu.
Kampuni za simu bongoslum haziuzi internet?Yaan Leo mpaka unaenda kuokoteza vikampuni vya kuuza internet ili kumuonesha vibamilikiwa na wakenya hata dhamani ya robo ya hisa tulizowekeza kwenye safaricom hazifiki
🤣🤣🤣🤣🤣 Hiyo ni isp company tu hakuna voice calls, huwez ilinganisha na hata zantel ya Tanzania kwa market shareKampuni za simu bongoslum haziuzi internet?
Tangu asubuhi anabishana tu, kila sehemu anakopita mnamnyuka spana. 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Hiyo ni isp company tu hakuna voice calls, huwez ilinganisha na hata zantel ya Tanzania kwa market share
Wakona voice call. Market share yao ya fixed broadband is bigger than any ISP company in Bongoslum. And it's fully owned by a Kenyan.🤣🤣🤣🤣🤣 Hiyo ni isp company tu hakuna voice calls, huwez ilinganisha na hata zantel ya Tanzania kwa market share
Ndiyo kampuni gn hiyo? Au ndiyo miongoni mwa zile kampuni 1000 za kikenya hapa bongo zenye jumla ya mtaji $500m? Yani kampuni 1000 za wakenya mtaji wake unazidiwa na kampuni mbili za watanzania kule Kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wacha hata 40% serikali, Jamii Telecom is 100% owned by a Kenyan.