Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania hawana kawaida ya kuiga vitu kutoka west na ndo maana tumeendelea kumantain culture yetu ya masoko na tuna masoko na stendi nzuri ambazo zinahudumia watu wa rika zote na nzuri kuliko zote east Africa. Tanzania Iko busy kwa maendeleo ya Kila mtu sio Kenya ambayo inataka kujiweka katika status ambayo haipo mwishowe inaambulia kutukanwa na mataifa mengine kama Vietnam .
Tuna masoko na stendi Bora kuliko Kenya nzima . Dhaman ya ujenzi wa stend Moja unazid dhaman ya masoko yote yaliyopo kenya
Vietnam lini ikaitukana Kenya? Mbona naona kama una shida ya kuelewa mambo hivi? Ama ni lugha ya Kiingereza ndio ngumu?
 
Kupandisha viingilio si Kitu sahihi! Africa ina Nationalparks chungu nzima na kama zile Za kusini bado hazijulikani! Ushauri wako si sawa!
Wapandishe mbuga za kaskazini tuu maana zipo congested all year around alafu za kusini washushe gharama maana ukiangali tuna eneo kubwa la mbuga kusini kuliko kaskazini ilhali watalii wotee wamerundikana kaskazini
 
Vietnam lini ikaitukana Kenya? Mbona naona kama una shida ya kuelewa mambo hivi? Ama ni lugha ya Kiingereza ndio ngumu?

Hapa kwa sababu wakenya ni wajinga hamuwez jua kwamba mlitukanwa


Vietnam Gas President Doanh Chau has taken a rather bold swipe at African leadership - and especially Kenya, accusing them of lacking long-term vision and a serious execution culture that continues to stall the continent’s development.
Speaking after meetings with President William Ruto and Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi in Nairobi, Chau painted a grim picture of Kenya’s investment climate despite the government’s ambitious rhetoric around infrastructure and economic transformation.

“I met with Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and President William Ruto in Nairobi. They spoke with energy about Kenya’s future—investment, infrastructure, public housing,” he wrote on his LinkedIn page.
 
Gharama za Safari, Safari Jeep, Hotels, Visa na Chakula na baadhi ya amenities ni kubwa.

Ukipandisha viingilio, utalii utakuwa gharama kubwa sana, watu watatafuta altenatives.

Ujue kuna altenatives kama Kenya, Naminia, South Africa.

Yale magari ya Safari (Safari Jeep, ni $250 per day)

Kiingilio, $60 (Non East African)

Hapo bado hotel na kama unataka kupanda Ballon.
Technically unamaanisha u-punish investment za watu kisa Nationalparks na Game Reserves zingine hazitembelewi! Huo ndo ujinga nashindwa kuelewa utatoka lini kwenye vichwa vya Waranzania!

Serengeti NP ya 15000 sq km bado ina nafasi ya Lu-host watalii wengi zaidi Kumbuka Rwanda ukubwa wake ni 26000 sq km! Wacheni wivu!

Hizo alternatives hazilazimishwi bali zonakuwa marketed! Akili ya kukandamiza utalii sehemu moja ili kwingine ukue ni za kiabunuasi!
 
Usisahau GDP waliita uchumi wa makaratasi until last year when their GDP grew and ours shrunk then they started bragging about GDP. This year ours is poised to grow more than theirs wamerudi ile ya GDP ni uchumi wa makaratasi.

Alafu utawaskia wakisema twende ground yet most of them have never even been to Kenya hadi unashangaa ni ground ipi wanaongelea. 🤣 🤣
Endeleeni kupika data!
 
Hapa kwa sababu wakenya ni wajinga hamuwez jua kwamba mlitukanwa


Vietnam Gas President Doanh Chau has taken a rather bold swipe at African leadership - and especially Kenya, accusing them of lacking long-term vision and a serious execution culture that continues to stall the continent’s development.
Speaking after meetings with President William Ruto and Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi in Nairobi, Chau painted a grim picture of Kenya’s investment climate despite the government’s ambitious rhetoric around infrastructure and economic transformation.

“I met with Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi and President William Ruto in Nairobi. They spoke with energy about Kenya’s future—investment, infrastructure, public housing,” he wrote on his LinkedIn page.
1. Vietnam Gas is a company, not a country. When you say Vietnam wametutusi you mean the country and that should be the official government.

2. The CEO took a swipe at African leadership. He just used Kenya as an example and we agree with him. Other Africans agree with him. It's only Bongolalas who worship their politicians that will disalign themselves from it and act as if they're better.
 
Tanzania hawana kawaida ya kuiga vitu kutoka west na ndo maana tumeendelea kumantain culture yetu ya masoko na tuna masoko na stendi nzuri ambazo zinahudumia watu wa rika zote na nzuri kuliko zote east Africa. Tanzania Iko busy kwa maendeleo ya Kila mtu sio Kenya ambayo inataka kujiweka katika status ambayo haipo mwishowe inaambulia kutukanwa na mataifa mengine kama Vietnam .
Tuna masoko na stendi Bora kuliko Kenya nzima . Dhaman ya ujenzi wa stend Moja unazid dhaman ya masoko yote yaliyopo kenya

Sio culture inawazuia bali ni umaskini.
 

1. Vietnam Gas is a company, not a country. When you say Vietnam wametutusi you mean the country and that should be the official government.

2. The CEO took a swipe at African leadership. He just used Kenya as an example and we agree with him. Other Africans agree with him. It's only Bongolalas who worship their politicians that will disalign themselves from it and act as if they're better.
Ni kiongozi wa kampuni kubwa Vietnam maoni yake yanareflect walivyowachukulia nyinyi kama wakenya ni mara ya kwanza maoni kama hayo yanatolewa na kiongozi wa kampuni kubwa Vietnam , maneno kama hayo huwez yasikia yanatolewa kwa kiongozi wa Tanzania hasa baada ya mkutano tu.
Baada ya kutoka Vietnam rais wenu alivyo kilaza amekuja kuropoka eti Kenya Ina uhusiano na china wa miaka 600 wakati nchi kama Kenya Haina hata miaka 100 sasa kwanini tusiseme nyinyi ni mazumbukuku mnaoabisha Africa
 
Sio culture inawazuia bali ni umaskini.
Umaskini ila hatufi njaa ila nyinyi sasa
Kenya has a serious level of hunger, according to the 2024 Global Hunger Index (GHI). The GHI score for 2024 is 25.0, putting Kenya in the "serious" category. The GHI considers factors like stunting, wasting, and mortality rates among children under five.
 
Kiingereza ni lugha ya watu wasiojitambua kama wewe , ungesema labda Nina shida ya kuelewa kiswahili ambayo ni my natural African language ningekuelewa
Mimi Sina shida na Kiswahili ama lugha yoyote. Ukiniongelesha Kiswahili nakujibu, ukiniongelesha Kiingereza nakujibu. Ukiniongelesha lugha yangu ya mama nakujibu.

Shida ni pale ambapo unang'ang'ana kutoa arguments kutokana na articles zilizoandikwa na hiyo hiyo lugha unayoita ya watu alafu unakosea kwa interpretation. Kama unaona Kiingereza ni lugha ya watu heri uachane nacho kuliko Kila siku unajiaibisha humu na wrong interpretation.
 
1. Vietnam Gas is a company, not a country. When you say Vietnam wametutusi you mean the country and that should be the official government.

2. The CEO took a swipe at African leadership. He just used Kenya as an example and we agree with him. Other Africans agree with him. It's only Bongolalas who worship their politicians that will disalign themselves from it and act as if they're better.
Haikuwa African leadership kwa sababu maoni yametolewa hasa baada ya mkutano wenu kujifanya mnaspeak big
 
Back
Top Bottom