Unajua hata mimi zamani, wakati sisi tunajenga Bus terminals wakenya wakawa wanasema wao wako busy na airports.
Eti wao wanaboresha viwanja vya ndege.
Baada ya kufika Kenya😂😂
Usafiri wao wa umma ni takataka kabisa.
Kwanza daladala zao (wao wanaita Matatu) wamezipaka rangi na michoro miingi halafu hazina stand maalum.
Tanzania tuna LATRA anapanga nauli, Kenya hakuna kitu kama hicho. Nauli wanajipangia wenye magari.
Na bado wana magari ya zamaniii, yanayoelekea huko kwa Wakamba, yaani ya miaka ya 90 enzi zetu za UDA.
Airports hakuna kitu. Choka mbaya na hawana pesa za kujenga, ndio maana Ruto akataka kumpa tajiri la kihindi Adani, wakaamndamana.
Huyo jamaa ni mwanasiasa Kenya alifika tu Airports👇👇
View: https://youtu.be/7fiStJ66evE?si=LuBPXt44zQok7c_5