Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tunaongelea mazuri wao wanalalamika

1745823353775.png
 
Kwa Kenya mradi huu bila PPP hawatoboi labda walease matako yao
Deni lao la taifa limezidi 50% ya GDP yao.

Nchi nyingi zinakwepa kuwakopesha.

Kwasasa wanategemea zaidi PPP.

TANZANIA mifumo yetu ya mtandao iko chini ya eGA (Mamlaka ya serikali mtandao)

Kenya wameweka wahuni ambao wanawaita eCITIZEN wanawalipa wao kwanza kabla hawajalipia gharama zao kwa serikali.

Tanzania tuna control number za serikali, Kenya kila kitaasisi kinajiendesha kihuni.


Mwaka huu, CAG wao alikuja Tanzania kujifunza

Lakini kutokana na Kenya kuwa dili la wahuni, hawawezi kukubali kurekebisha.


View: https://x.com/thee_alfa_house/status/1897577565696467337?t=i_gYIvhVwn9HCm1qihyqJg&s=19
 
Hii AFCON iachiwe Tanzania, tumeshaandaa fainali 3 za soka kimataifa Hadi sasa.

Watu wanaoshindia chapati wafocus na issue za njaa kwanza
Kenya is the main Host of AFCON, Uganda and Tanzania are co-host. That’s why Opening and Final Matches will be played at Talanta Stadium.
 
Deni lao la taifa limezidi 50% ya GDP yao.

Nchi nyingi zinakwepa kuwakopesha.

Kwasasa wanategemea zaidi PPP.

TANZANIA mifumo yetu ya mtandao iko chini ya eGA (Mamlaka ya serikali mtandao)

Kenya wameweka wahuni ambao wanawaita eCITIZEN wanawalipa wao kwanza kabla hawajalipia gharama zao kwa serikali.

Tanzania tuna control number za serikali, Kenya kila kitaasisi kinajiendesha kihuni.


Mwaka huu, CAG wao alikuja Tanzania kujifunza

Lakini kutokana na Kenya kuwa dili la wahuni, hawawezi kukubali kurekebisha.


View: https://x.com/thee_alfa_house/status/1897577565696467337?t=i_gYIvhVwn9HCm1qihyqJg&s=19

Hapa utakuta Kenya wanajisifu wao ni TECH HUB, TECH HUB😂😂😂

Tech hub ,kwa kuwaita Meta, Google na Uber kuweka ofisi branches Kenya na wanajifungia na wafanyakazi wao na teknolojia yao.

SKenya just benefits za Majengo marefu ya kupigia picha tu😂😂
 
Divide that by your GDP then multiply by 100 uniambie % ni ngapi.

View attachment 3318416
Do you understand metrics???

In 2023, Tanzania's government debt to GDP ratio was at 46.87%. This means that the country's total government debt was 46.87% of its Gross Domestic Product (GDP.

Maana Kenya maths ni changamoto hadi mnataka kuifanya option.
 
Back
Top Bottom