Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,758
Kila mwanaadamu anaruhusiwa kuwa na ndoto. 🤣🤣🤣Punguza wivu, Samsung lazima washushe kitu kama hii. Mtalilia kwa choo very soon.
![]()
Ushaanza kuumia na ndio tumeanza phase 1Kila mwanaadamu anaruhusiwa kuwa na ndoto. 🤣🤣🤣
Hamna uwezo huo nyinyi ni watu wa kujitapa tu mmeshindwa simamia hiyo ya kawaida ntaweza hizoPunguza wivu, Samsung lazima washushe kitu kama hii. Mtalilia kwa choo very soon.
![]()
Zile za kawaida tu mmeshindwa hata wafanyakazi kuwalipa mishahara tu mpaka muende benki mtaweza hiyoUshaanza kuumia na ndio tumeanza phase 1
Kwa hizi stadium zenu hata mkifikisha hiyo Tshs. 10M ni miujiza.Yaani kelele zoote hizi gate collection haijafika hata Tshs 10 mln! Mbona hata yeam za daraja la kwanza Tanzania zinakusanya zaidi ya KPL?
Hawajawahi kumiliki akili hawa jamaa, huwa wanafanya mambo kisifasifa ili kushindana na Tanzania, hawajui kwamba kuna mambo automatically yanatokea yenyewe at a time "t". Hivi unadhani wazungu walianza tu from nowhere kujenga viwanja vya mpira?
Umejibu kwa hasira mzee, kunywa maji kwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo wanaiita service exportation 🤣🤣🤣🤣.Wazee wa GDP
View attachment 3318181
Sasa tukudanganye ili iweje hakuna traffic's lights karibia nusu ya barabara zote kuu za nairobi
Ulianza na hakuna traffic lights.Sasa tukudanganye ili iweje hakuna traffic's lights karibia nusu ya barabara zote kuu za nairobi
Sasa kama Gor marhia tu imeshindwa kuingiza zaid ya 10mil timu gan Kenya itafikisha hata ksh 250,000
Hakuna traffic's lights according kwa video uliyowekewa kama zipo zilete sio kuleta picha Moja MojaUlianza na hakuna traffic lights.
Ukaenfa traffic lights ziko Ngong road pekee
Saahii upon karibia nusu ya barabara hazina traffic lights.
Hehehe 😂
Uwanja mmoja tu kelele Dunia nzima mngekuwa mnajenga viwanja walau viwili kama tZ si ndo tusingeenda hata chooniSi mlisema Talanta haitojengwa? Matumizi yapi kwa uwanja ambao haujengwi?😂😂
Yanapelekwa Uarabuni yanateseka ila hayasikii.Hiyo wanaiita service exportation 🤣🤣🤣🤣.
So, Kenya mna interchange nyingi kuliko SA?Nairobi ikona interchanges na flyovers mingi sana sio kama dar is a slum amabayo inategemea traffic lights na zebra crossings kila mahali. Tulia uwache wivu project lazima ikamilike hadi phase 3, Traffic Management Center ishaanza kujengwa, wacha Samsung wafanye mambo yao ju Nairobi haina rika hapa EA.
Duuh yaan mnaandaliwa kabisa kuwa mahousemaidsYanapelekwa Uarabuni yanateseka ila hayasikii.
Ukikuta yanajisifia Remittances.
Juzi yametumia pesa kujenga mfano wa Nyumba ya Mwarabu, ili kabla hayajaenda Uarabuni kufanya kazi za ndani, yapate ladha ya namna shughuli za ndani kwa Mwarabu zikoje.
WAko very desperate kwa hali mbayaaView attachment 3318212View attachment 3318213