Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😅😅 It's very true kama kwenye issue ya airport tumekuja kuwapiga KO kwenye dakika za jioni kweli, hawatukuti milele, kwenye transportation na logistics kwa ujumla Tanzania tupo mbali mno mbali sana, kuna vitu vingi tunachukulia for granted kama standards of our buses, terminals and so forth lakini Kunyaland ni things they're dreaming of

Watu ambao wametembea Tanzania na Kunyaland wenyewe wanasema Tanzania ipo mbali without bragging, wake wapo mbali kwenye PR wanahype takataka na ni sababu ya ulimbukeni lack of exposure



View: https://youtu.be/V-LZoM3F_fU?si=bu9asPiMQaPLv14A

Yaani ili upaone Kenya ni pazuri, pameendelea inatakiwa uwe na pesa uishi Kishua.

Usipande daladala.

Ukae mitaa ya kishua.

Uwe na pesa za kulipia barabara (expressway)

Usile kwa mama lishe, wao wanaita Kibandaski.

Usitembee kwenda mikoani Kenya, vijijini huko.

Uwe na pesa za kununua petrol, na umeme maana Kenya ni gharama ya juu kuliko TZ.
 
Na akili yako finyu unaamini north Korea ina GDP ndogo mara 5 ya naislum?
North Korea sio LDC kijana. Mbona unalazimisha wakuwe LDC kama Tanzania?😂😂🤣

What’s the GDP of Nairobi again for it to have GDP 5 times bigger than North Korea?
 
😂😂😂😂😂 naona hapa Pia umewawekea na Receipt la TRA kabisa 😂😂😂

最大速度(100)

View attachment 3318345
Siku hizi halifiki hata speed ya 100, hawa jamaa wamejenga reli kwenda polini ambako hakuna hata abiria mizigo wanategemea uganda na hata siku ikiisha itawachukua masaa 24 kufika Kampala wakati ya tZ kufika isaka 9 ukiweka kwa roli tu masaa 10 kwa nusu ya gharama
 
I think you are a visitor in this thread. Go check for MV Uhuru. By the way, where was that Songoro when your government and Azam was coming to buy and repair their ships in Mombasa?
Labda ni CORRUPTION. It was a scandal.

Maana Kenya is where corruption deals are done.

We have so many ships operating.
 
Labda ni CORRUPTION. It was a scandal.

Maana Kenya is where corruption deals are done.

We have so many ships operating.
So Azam is doing corruption in his own business? So meaning your government is purely corrupt beyond redemption?
 
North Korea haiko kwa list ya LDC. Unajaribu kuforce narrative lakini unaendup kukaa fala. Na hakuna siku GDP pekee inatumika kama metric ya LDC. Rudi shule au uwachane na topics za wasomi.
Yeye anadhani GDP ndio main factor of either being LDC or not😂😂🤣🤣😂
 
Back
Top Bottom