Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Home > MSRC > DIGI_COLLECT > MANUSCRIPTS >PITTCOURIER_IMAGES > PITTCOURIER_RELIGION > 48

PITTSBURGH COURIER: RELIGION

Clergy - Cardinal Laurean Rugambwa (center) with Unidentified Cardinals

Creator​




0-0-0.jpg


Identifier​

PCM-02091

Description​

Laurean Rugambwa (July 12, 1912 - December 8, 1997) was the first modern native-African Cardinal of the Catholic Church. He was elevated to the cardinalate in 1960 and served as Archbishop of Dar es Salaam from 1968 to 1992. In June 1963, following the death of Pope John XXIII, Cardinal Rugambwa became the first "negro" cardinal in the Catholic Church's history to attend the Pontiff election.

Kwa kifupi kuanzia hiyo 1963 🇹🇿 haijawahi kosekana kwenye maamuzi ya kumchagua papa
 
Hatupigi kelele bro, tumetulia tukiwaangalia mnavyotoa machozi za chuki 😂😂😂
Hamna kitu cha kujitapia mnaproject zisizozid mbili sisi tuna project zaid ya kumi zinaendelea na hatupigi kelele kama nyinyi.
Mfano tu tukichukia project Moja tu ya sgr Dom tu kigoma inabeba project zenu zote kwa miaka miwili
 
Yaan hapo ni msaada Tena wachakula ingekuwa ni msaada wa vifaa vya ujenzi sawa. Sawa hawa na GDP kubwa wanashindwa kujenga mabwawa ili wazalishe chakula. Ila kwanza twende nao hivi wake washtuke tuko mechanized na cost of production ipungue washindwe kucompete nasisi kwenye uzalishaji. Kwani turkana na singida Kuna tofauti gani
 
Yaan hapo ni msaada Tena wachakula ingekuwa ni msaada wa vifaa vya ujenzi sawa. Sawa hawa na GDP kubwa wanashindwa kujenga mabwawa ili wazalishe chakula. Ila kwanza twende nao hivi wake washtuke tuko mechanized na cost of production ipungue washindwe kucompete nasisi kwenye uzalishaji. Kwani turkana na singida Kuna tofauti gani
Yanatutegemea kwenye kila kitu, siku Tanzania iamue kufunga mipaka yanakufa yote na viwanda vyao vinakufa sababu hakuna raw materials na energy, umeme wao ni ghali sana kuweza kuzalisha competitive goods ndio maana viwanda vyao vingi vinatumia coal ya Tanzania sio umeme, siku tunawanyima coal cement, nondo na products nyingi watanunua mara 10 ya kawaida


View: https://x.com/peteklemenza/status/1824449386144727391?t=WAbgKRyLzDKItjhmesGOOw&s=19
 
Yanatutegemea kwenye kila kitu, siku Tanzania iamue kufunga mipaka yanakufa yote na viwanda vyao vinakufa sababu hakuna raw materials na energy, umeme wao ni ghali sana kuweza kuzalisha competitive goods ndio maana viwanda vyao vingi vinatumia coal ya Tanzania sio umeme, siku tunawanyima coal cement, nondo na products nyingi watanunua mara 10 ya kawaida


View: https://x.com/peteklemenza/status/1824449386144727391?t=WAbgKRyLzDKItjhmesGOOw&s=19

Kenya ni kiburi tu ya Capitalism.

Na zamani walikuwa wanatudanganya kwasababu tulikuwa hatuijui Kenya vizuri.
 
Yanatutegemea kwenye kila kitu, siku Tanzania iamue kufunga mipaka yanakufa yote na viwanda vyao vinakufa sababu hakuna raw materials na energy, umeme wao ni ghali sana kuweza kuzalisha competitive goods ndio maana viwanda vyao vingi vinatumia coal ya Tanzania sio umeme, siku tunawanyima coal cement, nondo na products nyingi watanunua mara 10 ya kawaida


View: https://x.com/peteklemenza/status/1824449386144727391?t=WAbgKRyLzDKItjhmesGOOw&s=19

Ila bado wako online wakisambaza chuki nyingi dhidi yetu! Mbwa sana gawa! BTW hivi kwann hatuzalishi umeme kwa coal Tanzania?
 
Yanatutegemea kwenye kila kitu, siku Tanzania iamue kufunga mipaka yanakufa yote na viwanda vyao vinakufa sababu hakuna raw materials na energy, umeme wao ni ghali sana kuweza kuzalisha competitive goods ndio maana viwanda vyao vingi vinatumia coal ya Tanzania sio umeme, siku tunawanyima coal cement, nondo na products nyingi watanunua mara 10 ya kawaida


View: https://x.com/peteklemenza/status/1824449386144727391?t=WAbgKRyLzDKItjhmesGOOw&s=19

Yet balance of trade favors Kenya, when was the last time Kenya had a negative trade balance against LDC?
 
Kenya ni kiburi tu ya Capitalism.

Na zamani walikuwa wanatudanganya kwasababu tulikuwa hatuijui Kenya vizuri.
Hawajaacha kudanganya, hakuna statistics yoyote genuine wanatoa, lots ni fake you can see hata Rais wao kila siku wanamkamata akisema uongo, wao kidogo ndio wameamka baada ya kudanganywa kwa muda mrefu cha ajabu lawama zote wanampa kasongo wakati kiuhalisia hakuna Rais wao hata mmoja aliacha kuwadanganya
 
Hawajaacha kudanganya, hakuna statistics yoyote genuine wanatoa, lots ni fake you can see hata Rais wao kila siku wanamkamata akisema uongo, wao kidogo ndio wameamka baada ya kudanganywa kwa muda mrefu cha ajabu lawama zote wanampa kasongo wakati kiuhalisia hakuna Rais wao hata mmoja aliacha kuwadanganya
Baadhi yao wanaokuja Tanzania, ni kama wameanza kushtuka ila wengine wako kwenye Denial stages za taarifa za Google, GDP na thamani ya sarafu



View: https://x.com/rodgers_adai/status/1891854988554518649?t=p3JBUoshRqSNlaQ3wejf4A&s=19




View: https://x.com/maina_mwan16588/status/1892121450464575829?t=Ma8lnIdOFWQbYR4WUeXF_Q&s=19
 
Back
Top Bottom