concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,312
- 14,335
Yaan hawa hata ukiwapelekea zile vip mbili za shabiby hawajaziNmecheka VIP wameingia watu 65, kumbe ndiyo mana hawawezi hata kukodi hotel, wanaishia kulala airport, hawa ni majokers haki ya mama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣