Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumekuletea documentary ikiwa na mitaa kabisa ambayo Iko empty hakuna traffic lights ilitakiwa kutuletea picha au video ikituonesha different area with traffic lights na uzuri wamesema kuwa barabara ya ngong na highway tu ndo kwenye traffic's lights . Leta sehem tofaut na zilizotajwa hapo
Kuna vitu wakenya wa humu huwa wanashangilia mpk huwa nashangaa mana huku kwetu unakuta vipo kitambo sanaaa, wao ndiyo unakuta vimeanza mwaka huu, mfano Kisumu imepata traffic lights in less than two yrs ago, you can't believe aisee.
 
Mi nangoja matumizi ya Talanta stadium baada ya Afcon 2027! Ikumbukwe uwanja ule ni kwa ajili ya soka tu!
Mauzo ya ticket za mpira kwa mechi yanazidiwa na mauzo ya katarama bus service dar -bukoba kwa mabasi mawili tu.
Ina maana katarama akiamua kuingiza mabasi sita kwa siku anaweza mnunua mpaka refa na akawalipia mashabiki wote chakula cha siku mzima kenya
 
Tumekuletea documentary ikiwa na mitaa kabisa ambayo Iko empty hakuna traffic lights ilitakiwa kutuletea picha au video ikituonesha different area with traffic lights na uzuri wamesema kuwa barabara ya ngong na highway tu ndo kwenye traffic's lights . Leta sehem tofaut na zilizotajwa hapo
Project imeanza last month according to KURA, wewe unakuja na documentary as if mwenye documentary ndio anarun hio project.


View: https://x.com/KURAroads/status/1861714547473625430
 
Project imeanza last month according to KURA, wewe unakuja na documentary as if mwenye documentary ndio anarun hio project.


View: https://x.com/KURAroads/status/1861714547473625430

Kabla ya hapo mlikuwa mnasarifije? Project imeanza last month sawa video iliyoletwa Ina week mbili toka ipostiwe, kwa hiyo siku zote mlikuwa mnatumia toch kuelekeza magari. Project zenu Huwa hazikamiliki na tuna uhakika mpaka sasa ishakufa hakuna kinachoendelea tuprove wrong by video different areas ambazo wameshafunga.
Nairobi is a city with torches as traffic lights🤣🤣🤣
 
Ju hapa ni dar is a slum ama?
Image
Usiumie sana. Tunajua kwamba moja ya slum kubwa Africa inapatikana huko kwa nyang'au hata ujioshe vipi😁
 
Kabla ya hapo mlikuwa mnasarifije? Project imeanza last month sawa video iliyoletwa Ina week mbili toka ipostiwe, kwa hiyo siku zote mlikuwa mnatumia toch kuelekeza magari. Project zenu Huwa hazikamiliki na tuna uhakika mpaka sasa ishakufa hakuna kinachoendelea tuprove wrong by video different areas ambazo wameshafunga.
Nairobi is a city with torches as traffic lights. 🤣🤣🤣
Nairobi ikona interchanges na flyovers mingi sana sio kama dar is a slum amabayo inategemea traffic lights na zebra crossings kila mahali. Tulia uwache wivu project lazima ikamilike hadi phase 3, Traffic Management Center ishaanza kujengwa, wacha Samsung wafanye mambo yao ju Nairobi haina rika hapa EA.
 
Nairobi ikona interchanges na flyovers mingi sana sio kama dar is a slum amabayo inategemea traffic lights na zebra crossings kila mahali. Tulia uwache wivu project lazima ikamilike hadi phase 3, Traffic Management Center ishaanza kujengwa, wacha Samsung wafanye mambo yao ju Nairobi haina rika hapa EA.
Leta evidence unakuwa na barabara bila kuwa na viongozea barabraba, sasa SI Bora hata usijenge, ndo maana mkatukanwa na yule waziri wa vietnam
 
Nairobi ikona interchanges na flyovers mingi sana sio kama dar is a slum amabayo inategemea traffic lights na zebra crossings kila mahali. Tulia uwache wivu project lazima ikamilike hadi phase 3, Traffic Management Center ishaanza kujengwa, wacha Samsung wafanye mambo yao ju Nairobi haina rika hapa EA.
Kubali kwanza hamkuwa na traffic lights
 
Nairobi ikona interchanges na flyovers mingi sana sio kama dar is a slum amabayo inategemea traffic lights na zebra crossings kila mahali. Tulia uwache wivu project lazima ikamilike hadi phase 3, Traffic Management Center ishaanza kujengwa, wacha Samsung wafanye mambo yao ju Nairobi haina rika hapa EA.
Project haitakamilika au umesahau project yenu ya brt ilivyobaki magofu
 
Nairobi ikona interchanges na flyovers mingi sana sio kama dar is a slum amabayo inategemea traffic lights na zebra crossings kila mahali. Tulia uwache wivu project lazima ikamilike hadi phase 3, Traffic Management Center ishaanza kujengwa, wacha Samsung wafanye mambo yao ju Nairobi haina rika hapa EA.
Ila wewe kujitetea kwako bhana 🤣🤣🤣 how many roads in Nairobi and how many flyovers and interchanges zipo kwa hizo barabara hati musiwe na traffic lights. 🤣🤣
 
Back
Top Bottom