Wew kumbe ni mjinga kiasi hiki. Quality of life and wealth distribution na mnavuka lake kwa mitumbwi na ferries kwa masaa mawili for only 3km? Sometimes mtumie akili.
Yes, uko na wealth na magari lakin unakaa kwa ferry kuvuka 3km for 2 hours.
Mnapenda kujilinganisha na wazungu kwenye wealth distribution forgetting hata wao walianza kujenga bridges na such infrastructures.
Nyinyi tu, Mombasa to Nairobi, Nairobi to Nakuru highways, watu wanakufa kila siku kwa ufinyu wa Barabara tena wengine ni rich people with wealthy.
Furahia mambo kama
Nairobi To Nakuru is four lanes
Mombasa Nairobi is four lanes
Nairobi has trams,
Kusherekea uchumi wa makaratasi ni ujinga