Expressway ni project ya billions na ikona manufaa kubwa Kwa Kenyan economy. Huwezi compare na hao wachina wanafanya hawking dar is a slum.Rais wako yuko china anaomba mkopo,miradi yenu yote ya sasa ni mchina,mchina ana xpress way anachukua pesa ndani ya miaka zaidi ya 10,nani hapo mkoloni wake mchina