The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Alafu huwa anakataa kwamba huyu mwenye t-shirt iliyochoka ya wasafi sio yeye 👇👇🤣🤣🤣Nilikua sija notice imebidi niirudie tena. 🤣🤣🤣🤣
Alafu huwa anakataa kwamba huyu mwenye t-shirt iliyochoka ya wasafi sio yeye 👇👇🤣🤣🤣Nilikua sija notice imebidi niirudie tena. 🤣🤣🤣🤣
Hivi lile jengo la TRA liliishia wapi?Suala la sidewalks maeneo ya posta tunasolve mdogo mdogo hasa kwa hiz BRT systems. Tatizo ni hayo manyaya ya fibre. Siku yakitolewa Dar city center itapendeza sana
Hivi lile jengo la TRA liliishia wapi?
The only AA I know of is Alcoholic Anonymous 🤣🤣😄 ( nobody uses AA to describe African Americans outside of Tandale ), meanwhile your sneakers have become a world phenomenon 😄😄
View attachment 3317149View attachment 3317153
Pamoja Boss, Oysterbay pia pa moto.Kaka nahisi kuna kama project 5 hadi 10 kwa posta upanga na miko za NHC, Watumishi Housing na Private groups , na nyingine hata 10 Kkoo ,hatuzijui vizuri na hatuna Uzi kule SSC tunaomba u update ukipata time ninazojua ni
1. Sky morroco 20f
2 watumishi housing morroco
3. Hii umepost leo 25F
4 kuna project flani 2 hivi mikocheni upande wa beach
You are the ones that are stupid, you were even lied to na matako makubwa!! You voted for her because of matako makubwa ona hapo chini 🤣
View: https://x.com/AtwoliiYa/status/1915633959981006915?t=_cbh4GTRQFVzlU7USKNZ-A&s=19
Hatufatiliagi mambo ya Tanzania hata hatumjui makamu wao wa Rais 😁😁
View: https://x.com/thekenyatimes/status/1916347223807341031?t=trRW-vXXa9J7vciuRJMRkA&s=19
View: https://x.com/MarthaKarua/status/1916017303503720731?t=NRR0MhjgRXI_Hnlja9QLLQ&s=19
Hio UN una mention si ndio ilisema 70% of bongoslum munaishi slum while in Kenya is only 40%.According to UN habitants
Hizi projects zenu zinatafutwa tu kwa torch. Lazima muitane meeting ndio muweze kufikiria hata tatu pekee😂😂🤣😂.Kaka nahisi kuna kama project 5 hadi 10 kwa posta upanga na miko za NHC, Watumishi Housing na Private groups , na nyingine hata 10 Kkoo ,hatuzijui vizuri na hatuna Uzi kule SSC tunaomba u update ukipata time ninazojua ni
1. Sky morroco 20f
2 watumishi housing morroco
3. Hii umepost leo 25F
4 kuna project flani 2 hivi mikocheni upande wa beach
Acha nisave hii😂😂🤣😂Hio UN una mention si ndio ilisema 70% of bongoslum munaishi slum while in Kenya is only 40%.
View attachment 3317330
Ingekuwa these numbers are scrutinized by external/Neutral institutions ungeshangaa vile bado wako chini in terms of tourism numbers and receipts. Yani their tourism number is more than the number of their total air traffic for both domestic and international travelers.Yani mmepata more tourists than the total number of passengers handled by all your airports combined? Halafu nyinyi ndio magwiji wa kuwika ati cooked figures.😂😂
Watakuambia hawafatilii issues za Tanzania
View: https://x.com/DanChepta/status/1913112733479846069?t=6mDtYnDD0fer3x9-rJ2v2Q&s=19
Hadi wameandikiwa definition ya slum hapo, wakuje wapinge eti hawana slums.Acha nisave hii😂😂🤣😂
Slums in our own standards.Hio UN una mention si ndio ilisema 70% of bongoslum munaishi slum while in Kenya is only 40%.
View attachment 3317330
Yani mmepata more tourists than the total number of passengers handled by all your airports combined? Halafu nyinyi ndio magwiji wa kuwika ati cooked figures.😂😂
This one will take 30yrs to finish, just like Mzizima Tower which Started Construction in Feb 2013, we are in April 2025 lakini bado kuishi kwake hakujulikani. Anyway, congratulations for constructing the first 20 floors building since 2017.View attachment 3316730
Eneo ambalo ilikua ijengwe Golden Anniversary ya NHC iliyohamishwa Kawe karibu na 7/11 ( seven eleven ) halafu ikastall .( Wakulungwa enzi ya SSC miaka hiyo watakumbuka) Sasa panajengwa structure nyingine ya NHC yenye 25Floors. Structure hii ipo Nyuma ya Crown plaza au Pembeni ya Viva na Uhuru Heights.
🤣🤣🤣 Kuona construction crane in Dar is a slum sahii nikama kuona rainbow usiku.Hizi projects zenu zinatafutwa tu kwa torch. Lazima muitane meeting ndio muweze kufikiria hata tatu pekee😂😂🤣😂.
Nairobi alone I can count for you over 30 buildings of over 30 floors that are currently under don’t construction without a blink. Za over 20floors hata tuitane meeting hapa wakenya wote we can’t mention them all cause they are too many.