Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Miss Grand Tanzania. Inaanza kutimua vumbi. Wakenya na njaa zao sura zimekomaa

1745742317298.png
 
Kenya is a failed country, and they don't know how to reset.

Ili Kenya ikae sawa, Mkenya wa kawaida anufaike, labda kuwe na very aggressive socialists policies.

Jambo ambalo ni gumu maana walishauza nchi kwa Mzungu.

Wangeweza,

Wangetaifisha ardhi yote.

Futa dual citizenship.

Unfortunately, wakifanya wanaweza pia kurisk kuwa Zimbabwe maana Mzungu hawezi kubali.


Then, waache shobo za kutafuta branches za foreign tech companies, wapambane na manufacturing.

Bila hivyo, ni story kila mara.
Kipofu anamueleza chongo jinsi ya kutembea bila kugonganagongana na watu njiani.
 
Una takwimu za total PAX by 2025?

Weka hapa tuone vile zinapishana.
Total PaX za 2025 unataka kutoa kwenye matako yako? Hata hatujafika half of 2025 lakini wewe tayari uko ready kutupea figures za 2025. Nikiwaambia mnapika data hamuamini.
 
Hiyo ni very far aerial view, na haijukikani ni wapi??

Taja ni wapi hapo
Utajuaji na Hujaichoka Loliondo? Wewe Huoni wenye wameshindwa wamenyamaza? Ngoja tuanze kuongelea Loliondo ndio ukuje upanue midomo hapa.
 
Back
Top Bottom