Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi has the most skyscrapers in SSA after Joburg. Na hata hio Joburg tunaenda kuipita soon. Sisi sio rika yenu.
Mwambie Upperhill alone has more skyscrapers kuliko their entire Country plus Burundi, Uganda, DRC, Rwanda, South Sudan, Ethiopia, Malawi, Zambia, Zimbabwe and Namibia.

1745704656849.jpeg

1745704675880.jpeg
 

View: https://vm.tiktok.com/ZMBvY3jo2/


Huyu traore ni magufuli extra max haya mambo ya bongo na Afrika kwa ujumla kusubiria mchina sijui ppp ili kujenga barabara ni ujinga uliopitilizaa,jamaa kununua vifaa vyote vya kujengea barabara,ame watrain watu jinsi ya ku operate mitambo na kujengaa barabara, wananchi wenyewe ndio wanajenga barabara hamna kampuni za njee
 
View attachment 3316730



Eneo ambalo ilikua ijengwe Golden Anniversary ya NHC iliyohamishwa Kawe karibu na 7/11 ( seven eleven ) halafu ikastall .( Wakulungwa enzi ya SSC miaka hiyo watakumbuka) Sasa panajengwa structure nyingine ya NHC yenye 25Floors. Structure hii ipo Nyuma ya Crown plaza au Pembeni ya Viva na Uhuru Heights.
Kaka nahisi kuna kama project 5 hadi 10 kwa posta upanga na miko za NHC, Watumishi Housing na Private groups , na nyingine hata 10 Kkoo ,hatuzijui vizuri na hatuna Uzi kule SSC tunaomba u update ukipata time ninazojua ni
1. Sky morroco 20f
2 watumishi housing morroco
3. Hii umepost leo 25F
4 kuna project flani 2 hivi mikocheni upande wa beach
 
Suala la sidewalks maeneo ya posta tunasolve mdogo mdogo hasa kwa hiz BRT systems. Tatizo ni hayo manyaya ya fibre. Siku yakitolewa Dar city center itapendeza sana
Yanakera sn hasa kkoo, na sijui kwnn waafrika tuna utaratibu wa hovyo namna hii, sio lazima manyaya tuyapitishe chini cz cost ni kubwa na kwa wakati huu tunaweza tusi afford, lkn tungeweza kuwa na utaratibu mzuri wa kuzifunga sehemu moja na ikapendeza tu, cha ajabu manyaya yamewekwa hovyo hovyo na watu wa mazingira wapo na hawaongei, tunapenda sn kuchukulia mambo poa tu kwa kila kitu.
 
Back
Top Bottom