Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Money & investments follow income.
Huko Dar slum madafu income kuna disposable income kweli?
ya mwaka jana tumewadouble, Tanzania purchasing power is twice yours
Screenshot_20250407-171446.jpg
 
Kunyan no one hate u,chuki zenu za kikabila ndizo zinawafanya muanze kuchukiana wenyewe,na kwa sababu mmezaliwa na kukuzwa kwenye malezi ya namna hiyo basi Psychology yenu ipo kwenye kumchukia kila mtu,chuki na wivu unavuka hadi nje ya kiinchi chenu kichafu
That's how you it to be. The reality is very different Mgaagaa na umbwa.
 
Non nato kwahiyo sasa hivi unataka kutuambia ile china uliyokua unaiponda vitu vyake fake now imekua deal,njaa zitawaua nyinyi kwa kujipendekeza
Wanaojipendekeza ni nyinyi. Mnaona kama China ni yenu, Africa Kusini ni yenu. Sisi we just do business with anyone. Ni mara ngapi nimewaambia humu biashara haina urafiki? Halafu na hiyo kujipendekeza yote bado mnachukiwa tu sikuizi SA hawataki story zenu.🚮🚮
 
Mimi hushangaa wakiimba humu ati Sauzi Afirika Sauzi Afirika. If you interact with South Africans, Kenya, Botswana and Zambia are always their favorite African countries. They rarely mention Vumbistan. Hii mapenzi yao huwa one way sana. 😂😂
Tanzania inafanya biashara na SA na DRC kuliko nchi yoyote Africa
Screenshot_20250425-125548.jpg
 
41% of Tanzanians live in slums. Alafu Ebu tuonyeshe hiyo slum ya Ruai tuone.
Eti Ngumba estate, Riruta na Uthiru ni slums. 🤣🤣🤣 Hizo places zikona middle class wengi than almost all neighborhoods in dar is a slum.
 
Back
Top Bottom