AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 1,113
- 2,968
Umecatch feelings hadi huwezi fikiria critically. Anyway hio ni shauri yako.
Ni catch feelings kwa sababu ya huyo actor na copycat!? Never..not a bit..
Huyo copycat unajua kwa nini kila anapoenda anataka kusalimia kwa lugha ya wenyeji!? Hata ili siku ya Diwali kwa wahindi akajikaza kusalimia kihindi..anasalimia kwa Kikuyu kuliko gikuyu wenyewe...kiluhya kuliko kina wetaa...hii amecopy kwa JPM
Copycat kila anapoenda ni kusema ametenga Hela...ametengaa Hela...hii pia amecopy kwa JPM..hakujakuwa na msamiati huo before hapo kunyaland...kwa upuuzi wake wa copy copy Hadi anaitwa Mr nimetengaa...poor him.
Huyo ni actor armature...hilo igizo na wakalee wenzie hapo China lilikuwa poorly choreographed...yule muuliza swali alitengenezwa...ujinga kaongo hakujua script yake ikae wakati gani...ni kama alikuwa anaomba usaidizi wa maneno amesahau alichokaririshwa....mambo ya kuambiwa kushusha ushuru na kusema LDC haviendani...ishu ilikuwa ni kuhusu imports..not exports...ujinga mwingine jamaa alikuwa na itinerary na route plan ya msafara wote na kujua nani atabaki China ili waendelee kufanya uzandiki....kwa mkutano kama ule hata kuwe na security check and clearance namna gani bado a random guy hawezi directly kumpelekea Rais zawadi na kumpa mkononi bila kupitia kwa security personnel...ni sawa na igizo la kunywa kahawa au muhindi wa kuchoma..
Bado Tanzania itaendelea ku supply mzigo kunyaland kutoka China...na hii ni kwa sababu Tanzania Ina wafanyabiashara wakubwa wengi na wana Hela kiasi Cha kuwezesha kampuni ya meli kufungua spesho route ya meli from china to TZ direct. Hizo blaa blaa za kasongo ni bure tu.... Ni ukora wake na utapeli kwa ng’ombe zake za kibera kama kawaida.... Kwishaaaa....