Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Because Kenyans hold their leaders at higher standards. A major project here and there is not enough. Kenyans want the bang for their buck. After all it’s their taxes doing the work not President’s personal offering. That’s what separates Kenyan mentality from that of Tanzanians . Nyinyi mnalipa taxes halafu mnaweka picha ya mama to worship ..🤣🤣
Which higher standard ya kupewa chapati ama?
1000005935.png
 
Wanaiogopa Tz kama ukoma. Wako busy Mitandaoni bad mouthing Tz. Ikitokea mtu mmoja akaitrash Tz basi wakenya wote watamsaport na kutoka shuhuda za uongo.

Tazama hii video comments 90% ni za wakenya bad mouthing Tz.
Sema baadae huyo jamaa aliyekuwa anasema vibaya Tz, iligundulika ni scammer na alifungwa mara tatu Tz. sijui walifichaga wap sura zao

View: https://youtu.be/xJtsdnZJKSk?si=ieLvEPJAGGSeDlKj



View: https://www.youtube.com/live/rU-I3MNeudQ?si=NGnFixLzDQcwZzDZ

Inashangaza kwenye kila content inayoisema vizuri Tanzania utawakuta wakenya wengi sana wanaitrash mfano ni hili saga la Malawi na SA, wakenya wengi wapo upande wa Malawi na SA lakini hutokaa uone watanzania wakisema chochote kwenye lolote linalohusu Kenya hata comments zetu hutoziona
 
Kwa hivyo hakuna transmission line from Ethiopia? Endeleeni kujiliwaza na old maps.
kwani huoni ki line kinacho elekea Ethiopia hapo tena ni Ki line cha DC.😁 usiingie ubaridi mzee endelea kukumbatia ba kujiliwaza na vidata vyenu tuu.
 
Kumbe huelewi , hiyo ni kwa ajili ya sgr tu, kusafirisha tu
You don't understand. Stolen things aren't transported on normal transportation channels. They're smuggled and in this case the smugglers are very powerful people including presidents. You don't tax smuggled goods. Your country won't earn a dime from it.
 
You don't understand. Stolen things aren't transported on normal transportation channels. They're smuggled and in this case the smugglers are very powerful people including presidents. You don't tax smuggled goods. Your country won't earn a dime from it.
Ingekuwa hivyo kwenye makaa ya mawe , Kaa kwa tulia huwez kusmuggle mzigo wa tan 20000. Hii sio Kongo
 
Ili ujue hizi GDP ni usenge angalia Tanzania ina export business worth of 16B$ lakini Kunyaland inayoexport 8B$ almost equal to Burundians eti ina GDP kubwa 😂😂😂
Kenyan service export alone is $10B, hapo hujaongeza export of goods.
 
You don't understand. Stolen things aren't transported on normal transportation channels. They're smuggled and in this case the smugglers are very powerful people including presidents. You don't tax smuggled goods. Your country won't earn a dime from it.
Huwa hawaelewi the reality of the world.
 
Back
Top Bottom