Bado kuna wazee wenye akili za kijamaa huko CCM wako hadi BOT.
2025, waache kuficha data, wekeni kila kitu hadharani investors wachangamkie Tanzania.
Huoni Kenya ukiiona mitandaoni inavyosifiwa unaweza fikiri iko level moja na Singapore ila ukifika kwa ground ni Burundi iliyochangamka. Kenyan wamewekeza nguvu yao kujibrand kwamba ni the best kuliko other African ( Jana Ruto anaomba mkopo bila aibu kwa kusema amezungukwa na neighbors LDC tu) ili wapendwe na investors wakizungu. Wazungu wasio na exposure watafikiri Uganda na Tanzania ni maskini kutupwa, so nothing appealing to them
Mtajenga mabarabara, treni, airport nk bila branding no one will know if they exist in Tanzania na mbaya zaidi mna jirani kichomi na parasite anayechukua upole na ukimya wenu kujibrand is the best.