Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hio pipeline ikiisha itakua 1=1

20250424_153843.jpg
 
Tuna vitu vingi vya maana vya kupost humu, umuhimu wa huu uchawa na matumizi mabovu ya kodi ni nini?
Asante kwa haya. Nimeona hata wabongo mmeanza kuchoka na huyo kichaa. Inaeleweka huu uzi ni wa battle ila kuna wengine yani kila kitu wanachopost ni upuzi no wonder ni nadra upate wamejibiwa.
 
Almost every metric ya Kenya vs Bongoslum hua tumewapiga gap ya double, lakini pale kwa GDP is where they draw the line. Numbers don't lie.
Acha kujiongopeeni Tz eletricity consumption annually is 1500+ MW. The last updates were in August 2023. 👇🏾ambapo tuli record 1482 MW
IMG_6774.png
… 👇🏾. Power Archives. This was before SGR operations. Sahii tunazungumza habari za 1800 MW demand.
 
Anasahau kuwa Burundi tu pamoja na udogo wake ana nickel ya kufa mtu na yote inategemea sgr Tanzania kufika bandarini hapo hatujaweka nickeli ya kabanga
Burundi has significant nickel reserves, particularly at the Musongati site. While exploration and development have been ongoing, the region has faced challenges including civil conflict and infrastructure limitations. Burundi aims to start nickel production at Musongati and eventually produce large quantities of nickel ore, with plans for increased power generation to support the mining operations.
Elaboration:
Nickel Deposits:
Burundi possesses substantial nickel resources, with estimates suggesting around 285 million tonnes of reserves. The Musongati area, in the Rutana province, is known for its large nickel deposits.
Kwa mzigo huo kwa miaka 30 tutahitaji kusafirisha Kila mwaka 9.5mil na kwa Kila siku tutakiwa kusafirisha tonne 27,141 sawa na mabehewa 678 ya tan 40 hapo hatuweka mzigo wa kutoka dar kwenda Kongo .
Nickel si itaibwa tu na mikora miafrika na Wazungu. Ukiondoa Botswana nchi gani hapa Afrika ishaawai tajirika kwa migodi na hizi serikali zetu za ovyo.
 
Ukitaka twende na habari za makadirio utakua mwehu… 🤣🤣🤣 unanieleza makadario mimi nakueleza kilichopo ground… TANESCO na AFD nani anaijua Tz zaidi.? 🤣🤣🤣
Nionyeshe sahii niwapi TANESCO wamesema peak power demand yenu ni 1800MW.
 
My fellow Kenyans… Y’all remember when a while back Tanzania was upgraded to lower middle income and they couldn’t let us breathe..🤣🤣… my question is, who was that Kenyan economic genius here who predicted they won’t last long and that they would head back down where they naturally belong?.. whomever you are , I owe you a beer 🍺..😜😄😄
 
Nionyeshe sahii niwapi TANESCO wamesema peak power demand yenu ni 1800MW.
Tanesco hajatoa data but we all know our SGR demands 200MW to operate two phases which is from Dar-Dodoma. Chukua ile consumption ya awali 1482MW+200MW hizi zinakua how many.? 🤣🤣🤣 kadiri tunavyofungua phases za SGR alone we increase our electricity demand rapidly, let alone hizo viwanda (industrial park)
 
Actually tungependa kufanya kazi pamoja tukue kama region tuinue region yetu pamoja ila nyie mkaona uadui kisa Kenya kuwa na uchumi bora EAC… vita ni nyie mlianza sio sisi,
Wivu ianzishwe aje na wakenya walio mbele yenu? Nyinyi kuchoma kuku 6000 kutoka kenya, ku seize cattle, ku ban kenyan imports? Huo ndo wivuView attachment 3313580View attachment 3313583
Huko SADC washaanza kuharibu mambo🙈😂😂

Screenshot_20250424-163227.png
 
You have to give Bongolalas credit. They invented some of the best phrases known to man :
CCM Milele
Mamá Hoiyee
Hatuna Slums
Pesa yetu ya ndani
Mangufuli is ok, busy working for the people
Data imepikwa
Lakini vitu kwa ground ( excuse)
🤣🤣🤣🤣
 
You have to give Bongolalas credit. They invented some of the best phrases known to man :
CCM Milele
Mamá Hoiyee
Hatuna Slums
Data imepikwa
Lakini vitu kwa ground ( excuse)
🤣🤣🤣🤣
Vitu kwa ground ulikimbia jana usiku. 🤣🤣🤣🤣 namva za kimtandao ndio mlichobakisha.
 
we compare things that are alike Both London and Dar es salaam ae metropolitan cities sasa wewe unaleta village town from Luxembourg !
Leo hii mmejua meaning ya Metropolitan na tukiwaambia Nairobi Metropolis ni kubwa kuliko Dar Metropolis mnajifanya wajinga eti - "Nailobi lazima uunganishe Machakos, Kajiado na Kiambu ndio ifikie Dasilinga" 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom