Sasa unataka kucompare hio 106 billion investment na hii yenu ya kuuza madafu. 🤣🤣
View: https://x.com/HildaNewton21/status/1902967147598336052?t=0HqLZwbkC4gbRW37HELnPg&s=19
Sasa unataka kucompare hio 106 billion investment na hii yenu ya kuuza madafu. 🤣🤣
View: https://x.com/HildaNewton21/status/1902967147598336052?t=0HqLZwbkC4gbRW37HELnPg&s=19
Asante kwa haya. Nimeona hata wabongo mmeanza kuchoka na huyo kichaa. Inaeleweka huu uzi ni wa battle ila kuna wengine yani kila kitu wanachopost ni upuzi no wonder ni nadra upate wamejibiwa.Tuna vitu vingi vya maana vya kupost humu, umuhimu wa huu uchawa na matumizi mabovu ya kodi ni nini?
Hadi gari za polisi ni donation from China.
View: https://x.com/Tz_Kwanza/status/1904781925467685239
Acha kujiongopeeni Tz eletricity consumption annually is 1500+ MW. The last updates were in August 2023. 👇🏾ambapo tuli record 1482 MWAlmost every metric ya Kenya vs Bongoslum hua tumewapiga gap ya double, lakini pale kwa GDP is where they draw the line. Numbers don't lie.
Nickel si itaibwa tu na mikora miafrika na Wazungu. Ukiondoa Botswana nchi gani hapa Afrika ishaawai tajirika kwa migodi na hizi serikali zetu za ovyo.Anasahau kuwa Burundi tu pamoja na udogo wake ana nickel ya kufa mtu na yote inategemea sgr Tanzania kufika bandarini hapo hatujaweka nickeli ya kabanga
Burundi has significant nickel reserves, particularly at the Musongati site. While exploration and development have been ongoing, the region has faced challenges including civil conflict and infrastructure limitations. Burundi aims to start nickel production at Musongati and eventually produce large quantities of nickel ore, with plans for increased power generation to support the mining operations.
Elaboration:
Nickel Deposits:
Burundi possesses substantial nickel resources, with estimates suggesting around 285 million tonnes of reserves. The Musongati area, in the Rutana province, is known for its large nickel deposits.
Kwa mzigo huo kwa miaka 30 tutahitaji kusafirisha Kila mwaka 9.5mil na kwa Kila siku tutakiwa kusafirisha tonne 27,141 sawa na mabehewa 678 ya tan 40 hapo hatuweka mzigo wa kutoka dar kwenda Kongo .
Wewe ndio unajua sana kuliko AFDB.Acha kujiongopeeni Tz eletricity consumption annually is 1500+ MW. The last updates were in August 2023. 👇🏾ambapo tuli record 1482 MWView attachment 3314155… 👇🏾. Power Archives. This was before SGR operations. Sahii tunazungumza habari za 1800 MW demand.
Ukitaka twende na habari za makadirio utakua mwehu… 🤣🤣🤣 unanieleza makadario mimi nakueleza kilichopo ground… TANESCO na AFD nani anaijua Tz zaidi.? 🤣🤣🤣
Nionyeshe sahii niwapi TANESCO wamesema peak power demand yenu ni 1800MW.Ukitaka twende na habari za makadirio utakua mwehu… 🤣🤣🤣 unanieleza makadario mimi nakueleza kilichopo ground… TANESCO na AFD nani anaijua Tz zaidi.? 🤣🤣🤣
Tanesco hajatoa data but we all know our SGR demands 200MW to operate two phases which is from Dar-Dodoma. Chukua ile consumption ya awali 1482MW+200MW hizi zinakua how many.? 🤣🤣🤣 kadiri tunavyofungua phases za SGR alone we increase our electricity demand rapidly, let alone hizo viwanda (industrial park)Nionyeshe sahii niwapi TANESCO wamesema peak power demand yenu ni 1800MW.
There's a time ******** mentioned Kenya during COVID-19 pandemic. Yeye alijua diplomasia?Hana agenda, matokeo ni kukurupuka kutaja nchi zisizomuhusu hajui diplomacia kabisa.
Tukienda ground vitu havionekani 🤣🤣🤣👇🏾Most metrics ya Kenya vs Bongoslum lazima Kenya ikue twice more. Here is another one for power distribution network length. Na vile nchi yao ni kubwa. 🤣🤣😆
View attachment 3314170
View attachment 3314166
Last time walikuwa wanasifu Ruto, today they are all crying juu Ruto amewaita Least Developed Country😂😂🤣
View: https://x.com/celestine_mat/status/1915076971001753721
Huko SADC washaanza kuharibu mambo🙈😂😂Actually tungependa kufanya kazi pamoja tukue kama region tuinue region yetu pamoja ila nyie mkaona uadui kisa Kenya kuwa na uchumi bora EAC… vita ni nyie mlianza sio sisi,
Wivu ianzishwe aje na wakenya walio mbele yenu? Nyinyi kuchoma kuku 6000 kutoka kenya, ku seize cattle, ku ban kenyan imports? Huo ndo wivuView attachment 3313580View attachment 3313583
Vitu kwa ground ulikimbia jana usiku. 🤣🤣🤣🤣 namva za kimtandao ndio mlichobakisha.You have to give Bongolalas credit. They invented some of the best phrases known to man :
CCM Milele
Mamá Hoiyee
Hatuna Slums
Data imepikwa
Lakini vitu kwa ground ( excuse)
🤣🤣🤣🤣
Leo hii mmejua meaning ya Metropolitan na tukiwaambia Nairobi Metropolis ni kubwa kuliko Dar Metropolis mnajifanya wajinga eti - "Nailobi lazima uunganishe Machakos, Kajiado na Kiambu ndio ifikie Dasilinga" 🤣 🤣we compare things that are alike Both London and Dar es salaam ae metropolitan cities sasa wewe unaleta village town from Luxembourg !