President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,054
- 93,444
Bado mwezi wa Tano tupo na Harusi ya Jux, Na dunia yote sasa inajua. Watu wengi mno watakuja.Kwa style mwaka huu kutakuwa na wageni wengi sana.
We mean Business
Bado mwezi wa Tano tupo na Harusi ya Jux, Na dunia yote sasa inajua. Watu wengi mno watakuja.Kwa style mwaka huu kutakuwa na wageni wengi sana.
Ona mlivyo wazembe mpaka leo mmeshindwa japo kujenga hizo road za chini hapo, kila kitu mmemuachia mchina awafanyie 👇👇
Zile Zenyu mbona ni decommissioned trains from Spain?Decommissioned trains for commuter services ndio anashangilia ama kweli ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni 😁
Kaka wewe kijani damdam?Maandalizi ya Samia Serengeti Music Festival, Haijawahi kutokea hapa East and Central Africa. Sisi ndio wababe wao.
View attachment 3310756
View attachment 3310758
Wale waarabu wa Dubai, Vp wameghairi?Wenzako bado wanahangaika na ruto must go na hela za kufikisha sgr malaba
Wanawaambia hata efd na control number hawana.
OFF TO KENYA ✈️ WEDDING PERFORMER!, Nandy katoka Nigeria jana na anaelekea Kenya kwa Private Jet
View: https://www.instagram.com/reel/DIq1aV8AtAE/
Alafu Kuna umbwa kama 5 zimelike, unajua maana ya (ksh'm) ???Hii draft says it all. 👇🏾View attachment 3310524hii wameandika wenyewe. Sasa jua hivi, kwa Tanzania hii Safaricom ni level ya kampuni ya kuuza maji HILL WATER 💦🤣🤣🤣
Kuna mmoja kaambiwa hivi “ English doesn't make you closer to british” 😂😂😂Nimepitia comment huko. Watanzania wanawanyosha 🤣 🤣 🤣 🤣
National Anthem mlichukua kwa wengine ama walichukua kwenu? Si National Anthem yenu ni wimbo wa kiXhosa Afrika Kusini? 🤣🤣Sisi ni baba yenu, mpaka our national anthem wanachukua kwetu, bendera na vingine vingi. Lugha ya Kiswahili inafundishwa karibia Africa nzima na nyie wanjaanjaa pia mnajifunza kiswahili safi.
Hizi hapa kaka:- 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇Haha hao kenge wana mengii ya kujifunza kuhusu mifumo ya fedha na malipo. Hiyo mifumo vijana wa hapa hapa wamepiga code kwa kiswahili na kufanikisha...
Watembelee eGA kwa kujifunza zaidi.
Pole kaka kwa maumivu. Itabidi upumzike tu, hii battle imekuzidiNational Anthem mlichukua kwa wengine ama walichukua kwenu? Si National Anthem yenu ni wimbo wa kiXhosa Afrika Kusini? 🤣🤣
Lugha ya Kiswahili nayo si imeanzia Kenya ama unataka tukupe Somo kwa mara ya pili?
See why I say you're overexcited because you're rarely on spot on this continent.
Utaruka juu ndio unipige kofi ama utasimama juu ya kiti kwa huu ufupi wako?Sasa we mapumbu nyie mnatuweza nini sie.?🤣🤣🤣 taifa lenu halina hata identity, Kama nakutana na wewe face to face nakuzabua hata libao, jinga pumbavu kabisa.
I suspect this Wedding
View: https://x.com/KenyanSays/status/1913820496472244702
MY TAKE
Kwani huko Ukunyani Willy Paula na Erick Omondi hawapo? Halafu naona Nandy kakodisha charter flight toka Auricair! Vp wale Wakunya waliokuwa wanasema hakuna ndege za kukodi?
CC: IamLee NairobiWalker Teargass Nicxie nairobae n mwathadan
Friendly fire mkuu 🤣🤣🤣Zile Zenyu mbona ni decommissioned trains from Spain?
a wedding for a politician or a business person as none of u kapukus can afford Nandy!What do you suspect the wedding for Geuza?