Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

It will take years for a Tanzanian company to achieve what Safaricom is doing currently.
Hii draft says it all. 👇🏾
IMG_6662.jpeg
hii wameandika wenyewe. Sasa jua hivi, kwa Tanzania hii Safaricom ni level ya kampuni ya kuuza maji HILL WATER 💦🤣🤣🤣
 
Nimeshangaa sana kaka. Current Assets haziwezi Kulipia Current Liabilities 🤣 🤣 🤣 yaani wanaishi kwa ujanja ujanja tu. Hawatofautiani na machinga wanaotembeza nguo barabarani
Hawa wasenge zao ni kupika tu data kwenye vi blog huko, uvivu wetu wa kutokusoma mambo Yao Ndio ulituamisha kwamba they are better. Haya sasa kumbe hiyo safari com haiwezani hata na Afro-oil. 🤣🤣🤣

Kijamaa Ndio kitalala na headache leo. 🤣🤣
 
Hawa wasenge zao ni kupika tu data kwenye vi blog huko, uvivu wetu wa kutokusoma mambo Yao Ndio ulituamisha kwamba they are better. Haya sasa kumbe hiyo safari com haiwezani hata na Afro-oil. 🤣🤣🤣

Kijamaa Ndio kitalala na headache leo. 🤣🤣
Hiyo ndiyo ilikuwa kete yake ya mwisho. 🤣 🤣 🤣 🤣 Alikuwa anajificha kwenye kichaka hicho, tayari tumeshakifyeka. Financial Year ya mwaka huu watazidiwa na Kadogosa
 
Hata BRT walifanya kujishindanisha na Kenya, angalia sasa inavyojifia.

Now they have switched gear to “ affordable Housing “… Everything of economic importance that Kenya does, they must copy .In street talk, Tanzania is Kenya’s lil’ biatch!…🤣🤣
Vijamaa vipumbavu vinajikesha hivi. 🤣🤣🤣 BRT inajifia.? 4 phases are construction. Unatueleza habari ya kufa.? Ukifika Dar sahii barabara zote kubwa Zina hi mbwa BRT lanes. Phase 2. 👇🏾
View: https://youtu.be/8cTDqW0IiF8?si=V8_SpJ-rNTGik5Qd. Phase 3 👇🏾from airport straight to CBD.
View: https://youtu.be/5rOaIzMBkJ0?si=w2tlBgZuft9HSrx7. BRT phase 4.
View: https://youtu.be/cDIqISubb2Y?si=_xFrLzGqWQQsdfww. Ndio Kwanzaa tumeanza kuwekeza. Nyie mnafikiria habari zao pitia kufa.? 🤣🤣🤣
 
Hiyo BRT ya kunyaland Iko wapi!?
Nairobi BRT was proposed and wheels started rolling before yenu . Sooner you jumped the bandwagon na mkasema mnajenga yenu pia. I WILL GIVE YOU CREDIT.. you accomplished your goal despite the chaotic situation with your BRT..Ours got stuck in politics ya Matatu cartels. Nairobi then switched to Trains . Sooner you also announced Dar trains zinakuja .. you get the picture?..😄😄
 
Nairobi BRT was proposed and wheels started rolling before yenu . Sooner you jumped the bandwagon na mkasema mnajenga yenu pia. I WILL GIVE YOU CREDIT.. you accomplished your goal despite the chaotic situation with your BRT..Ours got stuck in politics ya Matatu cartels. Nairobi then switched to Trains . Sooner you also announced Dar trains zinakuja .. you get the picture?..😄😄
Huu uongo utakusaidia nini kubwa jinga.? 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom