ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Pia me sijawai ona wanaume wanafurahia harusi, maajabu. Hizo hua vako za madem.Mwanaume straight hawezi ingia online kusifia harusi, hawa wote humu huwa wanadinyana nyuma.
kwani Ukunyani hamna politician clients?Bado hii ndege ya Kenya inkuwasha. Haya basi, ebu fuatilia hio ndege pale flight radar alafu utuambie baada ya kudrop Diamond ilienda nchi gani. Niko hapa nangoja jibu.🤣🤣
Ndege ilianzia safari Kenya na imefungia safari Kenya. Sasa tulia we mzee.kwani Ukunyani hamna politician clients?
The average man stops growing in height at 18, unless you're 20 years old now, you're still a dwarf. Libaba limemea ndevu alafu linasema picha lilipiga likiwa litoto. Picha zenyewe umepost humu mwenyewe last year. You're a dwarf bro. Jikubali. Kunipiga Kofi ya uso labda ubebwe na Geza UloleNdio mana nakwambia wewe ni jipumbavu, unadhani nipo hivi hadi sasa.? After 7 years.? 🤣🤣🤣 ukikutana na Mimi si utakimbia, zuzu wewe.
Halafu nani kakwambia Mimi ni mfupi au hizi picha Ndio zinakudanganya.?
kwahiyo hamna Lanseria kwenye flight radar?Ndege ilianzia safari Kenya na imefungia safari Kenya. Sasa tulia we mzee.
kwahiyo hamna Lanseria kwenye flight radar?
Na hapa Nandy anatumia ndege ya Ukunyani pia?
View: https://www.instagram.com/reel/DIq1aV8AtAE/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==
Ile siku hii technology itafika bongoslum, hatatutapumua huku.🤣🤣 Kwa sasa endeleeni kuandika makaratasi.
View: https://x.com/Mukhisa_/status/1913835844647129334?t=he6W6ZjPEBeAWqfX0ljXxQ&s=19
Muambie kuna hadi camera zinazotambua magari yenye fine barabarani 😂😂😂Hizi ndio mnaona leo.? 🤣🤣🤣soma tarehe hiyo. 👇🏾View attachment 3310887View attachment 3310889tochi za barabarani hizo Ndio tunaita huku bongo.
Hakuna msanii yeyote hapo kenya anamsogelea NandyHuyo Nandi mimi simjui na hakuna mahali nimemtaja.
Kujeni muone mshamba hajui tofauti by speed gun na speed cameras. 🤣🤣🤣 Nilijua tu nitapata bongolala pumbavu trying to prove a point.Hizi ndio mnaona leo.? 🤣🤣🤣soma tarehe hiyo. 👇🏾View attachment 3310887View attachment 3310889tochi za barabarani hizo Ndio tunaita huku bongo.
Unafikiri hamjui? 😂😂😂
kwahiyo hamna Lanseria kwenye flight radar?
Na hapa Nandy anatumia ndege ya Ukunyani pia?
View: https://www.instagram.com/reel/DIq1aV8AtAE/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==
Wewe ndo unaibikaKujeni muone mshamba hajui tofauti by speed gun na speed cameras. 🤣🤣🤣 Nilijua tu nitapata bongolala pumbavu trying to prove a point.
Sasa unatuambia vitu tunajua ndio tuone wewe ni mjanjez ama? The fact is, bongoslum hakuna speed cameras that produce instant fines via SMS to drivers.Wewe ndo unaibika
Speed guns and speed cameras both measure vehicle speed, but they differ in how they do so and where they're typically used. Speed guns are handheld devices that use radar or laser to measure speed in real-time, often by officers in moving vehicles or stationed along roads. Speed cameras, on the other hand, are fixed, automated systems that use radar, laser, or video analytics to determine speed, typically at designated locations.
Bado uko nyuma sana kijana. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Sasa unatuambia vitu tunajua ndio tuone wewe ni mjanjez ama? The fact is, bongoslum hakuna speed cameras that produce instant fines via SMS to drivers.