Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani harusi pekee inawafanya mnarukwa na akili hivi? Halafu ni Ile Ile Nigeria ambayo huwa mnasema ni ovyo sawa na Kenya ndio mnashobokea hivo?🤣🤣
Hiyo siyo harusi pekee kijana, is a bussiness event. Hapo ni fashion show, hao watanzania watapata deals kubwa sana za kimataifa. Ushamba bado umewajaa wakenya. Kwa sasa Tanzania sherehe ni business event.
 
Naona unajaribu kugeuza mjadala. Endeleeni kulia. Tutaacha kununua kwenu mahindi kabisa ndio mlie zaidi.
Nageuzaje mjadala? Wewe si ndio umesema tunalia? Wewe si ndio unalazimisha tuonekane tumekosa soko? Ndio nauliza wapi ambapo umesikia tunalia?

Mwisho hoja ni intra-Africa trade kufeli Kwa sababu Nchi zenu zinaongozwa na mbuzi kiasi kwamba Mko radhi kwenda Brazil kununua mahindi na msagirishe Kwa gharama kubwa wakati yapo 🇹🇿 na Zambia.

Na sisi 🇹🇿 hatujawahi kosa soko hata siku Moja as we speak domestic market Kwa Sasa mda wa mavuno inakariba ni 570-800 Tsh/Kg hapo Bado NRFA hawajanunua.
 
Nageuzaje mjadala? Wewe si ndio umesema tunalia? Wewe si ndio unalazimisha tuonekane tumekosa soko? Ndio nauliza wapi ambapo umesikia tunalia?
Nimelazimisha vipi na umepost wewe mwenyewe ukilalamika? 🤣 🤣 🤣 🤣
Alafu unakana na bado unaendelea kulalamika 👇👇👇

Mwisho hoja ni intra-Africa trade kufeli Kwa sababu Nchi zenu zinaongozwa na mbuzi kiasi kwamba Mko radhi kwenda Brazil kununua mahindi na msagirishe Kwa gharama kubwa wakati yapo 🇹🇿 na Zambia.

Na sisi 🇹🇿 hatujawahi kosa soko hata siku Moja as we speak domestic market Kwa Sasa mda wa mavuno inakariba ni 570-800 Tsh/Kg hapo Bado NRFA hawajanunua.
Sasa kama hamjakosa soko mbona mnalalamika Kenya tukinunua kwengine? Your whole post is so full of contradictions it's sad.
 
Naona unajaribu kugeuza mjadala. Endeleeni kulia. Tutaacha kununua kwenu mahindi kabisa ndio mlie zaidi.
I can't remember the number of times these people have bragged how much they feed us, kwamba bila wao tutakufa njaa!

Wewe naye unaandika upupu mtupu, Watanzania waombe msamha kwa Ruto kwa sababu zipi hasa??
Tanzania ndio inalisha Kenya, Rwanda na Burundi kwa asilimia zaidi ya 70%.
LOL unajua Tanzania Ina zaidi ya millions of irrigation acres of land na Tanzania ndio inalisha 75% ya mchele wa Kenya, 70% Uganda, 80% Rwanda, 70% Burundi, 40% DRC, 65% Zambia, 40% Mozambique, 89% Comoros, 35% Malawi, tunapeleka mchele mpaka Zimbabwe, Namibia



Tanzania ndio inalisha Kenya, yaani bila Tz Kenya mtaangamia kwa njaa, ardhi yenu kiduchu yenye rutuba inamilikiwa na uhuru Kenya, iliyobaki wanamiliki wazungu wanalima maua na chai, wenyeji mmekaa mmejazana Kibera pasi na matumaini yotote. View attachment 1802477

Hii kelele na malilio ya leo ni ya nini tena?🤣🤣🤣
 
Korogwe CITY 😂😂😂
1000005582.jpg
1000005581.jpg
1000005591.jpg
1000005590.jpg
 
Back
Top Bottom