NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,382
- 17,966
Naona unajaribu kugeuza mjadala. Endeleeni kulia. Tutaacha kununua kwenu mahindi kabisa ndio mlie zaidi.Wapi tunapolia? Umesikia Tanzania tumekosa Kwa kuuza mahindi?
Hoja ni ujinga na upumbavu wa mtu mweusi kwenda kuagiza ngano Kwa bei ya Juu harafu jirani yake anayo akihisi anamkomoa.View attachment 3310079