Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Ufala ni huu hapaHeheheheee mobile markets ya miamvuli hadi imechakaaa nje ya mahakama. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kubali kusindwa acha ufala.
Ufala ni huu hapaHeheheheee mobile markets ya miamvuli hadi imechakaaa nje ya mahakama. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kubali kusindwa acha ufala.
Hii picha ni ya lini.? ngoja nikifyeke hichi kichaka chako chakujifichia kwanza. 🤣🤣🤣 unaona hapo hata MNF tower was not completed.? Hebu tueleze hii picha ni ya lini.?Bongolala, kabila ya kushugulika na miavuki za Maasai market nje ya parking lot ya Supreme Court, shugulikeni na hizi slums nje ya ofisi zenu za bandari View attachment 3297131
You've spoken just like a Tanganyikan.Hebu tuambie walijenga lini hayo majengo, Imagine Mkunya kwa kuhusudu wazungu, Hata mavi yao anaweza sema ni mzuri.
Kunyans bana so Mabwana zenu ndio kipimo sio, haya basi nasikia mabwana zenu wanataka mwanaume akunjwe tuje kuwasaidia?
Gara B kaagiza chipsi mayai Kenya. Ona alicholetewa. 🤣🤣🤣👇🏾.
View: https://www.instagram.com/reel/DIJ6bVgMplp/?igsh=MWJ5eXdiNHgyZ29hdQ==.
Wao kila kitu wanadandia, ni kataifa ka wapumbavu, hawana identity. 🤣🤣Baadae utawasikia ndio waanzilishi na ni chakula chao yaani upuuzi
Ninyi mnalipana umasikini tu value za kijuakali wakati Tanzania ni real businesses zinafanyika through mobile money transactions, migodini na online shopping, watanzania wengi wananunua vitu online kuliko Kunyaland, hii tumeileta mpaka kwenu, mnanunua sana vitu from us online, soma comments
View: https://vm.tiktok.com/ZMBCUrBQQ/
Ninyi mnalipana umasikini tu value za kijuakali wakati Tanzania ni real businesses zinafanyika through mobile money transactions, migodini na online shopping, watanzania wengi wananunua vitu online kuliko Kunyaland, hii tumeileta mpaka kwenu, mnanunua sana vitu from us online, soma comments
View: https://vm.tiktok.com/ZMBCUrBQQ/
Ya kwako.Sportpesa ni ya nani?
Kwani hizo gates sio mapato ya timu inayotumia kuendesha timu ikiwemo kulipa mishahara. Matarumbeta yote na hamuwezi lipa mishahara ina maan gani?Tulikuwa tunaongelea gate charges wewe nguruwe. Najua huwa hamlipi tickets za kuwatch locals games, and for a Tanzanian to watch a match basi hiyo match kiingilio ni bure.
Do we go too extent mpaka kuwahusudu everywhere kulamba miguu? Kama nyie kunyans?You've spoken just like a Tanganyikan.
How many times do you guys share tweets here from the same wazungus with words of praise everytime they mention something good about Tanzania? Hypocrisy of the highest order. Mtaumia na bado!
And for your info tunazileta kwa sababu ndio mabwana wenu mmepofuka sana hata tukileta data wabishi, sasa kwa kuwa mnapenda mabwana wenu why tusiwawekee.You've spoken just like a Tanganyikan.
How many times do you guys share tweets here from the same wazungus with words of praise everytime they mention something good about Tanzania? Hypocrisy of the highest order. Mtaumia na bado!
Prove whatever you’re saying kama we ni mwanaumeHujajibu hoja unarukia mada nyingine. 🤣🤣🤣🤣 kwanini nje ya mahakama kuna parasols za kuuza vitumbua.? Unadai ni maasai market 🤣🤣🤣 sasa inakuaje nje ya jengo muhimu kama mahakama kuu kunakua na hawkers shades like this.? 👇🏾View attachment 3297117je hapa ni bunjumbura.? 🤣🤣
Tanzania is seriously morphing into Norh Korea …tano tena mwanangu !.. 😁😁😂😂😂 yaani hadi serikali inajenga soko with branding shopping mall, enyewe mama has you guys deep in her pockets
Fans wanaingia uwanjani wana majezi ya man united, arsenal, Yanga. Yani pure third world.Hehehe eti tushukuru sportpesa acha ufala kwani sportpesa ni kampuni yenu?
Kwani hizo timu zenu chungu nzima hazina Sportpesa ila Fans wanaingia na za timu nyingine?
Serikali yao Tu haipo digitalised.Kundunstan bado na mabishano? Watuoneshe Digital payment systems kwenye sectors zote.
DuuhhhhMadrid anachakazwa wakuu. Kashakufa 3-0 tayari.