Haya sawa Govinda. 🤣🤣🤣Nimekudunga ukweli, sio? Akina NairobiWalker walikuwa wanasema ukweli kwamba mkishindwa mnakimbilia matusi. But najua hukuwatch ball kwako because huna huo uwezo wa subscribing DSTV compact plus every month.
08 April 2025
Nairobi, Kenya
Jiji letu Nairobi, zuri kwa drone lakini ukitembea kwa miguu ndiyo utaliona jiji ktk uhalisia wake
View: https://m.youtube.com/watch?v=LqrGTT8ikng
The Kenyan historian anakatisha mitaa ya mjini kati CBD ya jiji hili lenye sifa kibao Haile Sellasie, Kenyatta Avenue, Kimathi na mitaa mingine tajwa... matatu.... bodaboda ... wafanyabiashara wafunguka kuhusu jiji lao pendwa ...
Ni ujinga kuchukua picha za miaka 10 iliyopita ku-push agenda!We like criticizing.. that’s how some things get noticed and fixed. Remember the Chaka road in Kilimani? Its now fixed 👌👌
That’s why nilikusho tofauti yetu na yenu ninyi mkiwa na hayo miundombinu duni bado mnasifu rais wenu.
Ama unataka kuniambia kila kitu iko sawa? Jibu bila kusahau nimekuwa hapo mwenyewe 😂😂View attachment 3297523
Sasa nani kakwambia hili eneo bado lipo hivi.? 🤣🤣🤣.We like criticizing.. that’s how some things get noticed and fixed. Remember the Chaka road in Kilimani? Its now fixed 👌👌
That’s why nilikusho tofauti yetu na yenu ninyi mkiwa na hayo miundombinu duni bado mnasifu rais wenu.
Ama unataka kuniambia kila kitu iko sawa? Jibu bila kusahau nimekuwa hapo mwenyewe 😂😂View attachment 3297523
Kawaida ya Mibongolala kutafuta pa kutorokea wakishabanwaDuh picha ya kitambo kweli kweli kabla hata hizo jengo pacha hazijaisha.
Leta ushahidi kwamba kumebadilikaSasa nani kakwambia hili eneo bado lipo hivi.? 🤣🤣🤣.
It is now official Tz inazalisha MW 4,031.7 za umeme na zote zipo kwenye gridi ya taifa tayari. 👇🏾.
View: https://www.instagram.com/reel/DIOHkmQM8Vx/?igsh=OXBxeml1bGE3bmV0. Kenya kumbe wao wanazalisha ngapi vile.? 🤣🤣🤣.
Haya mauwazi yanakuaga ya nn?
Lete current pictures acha hizo za za enzi ya Mkapa na Kikwete.Kawaida ya Mibongolala kutafuta pa kutorokea wakishabanwa