Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,720
- 107,165
Football nation katika ubora wake...
View: https://x.com/StarletsKE/status/1894795027487887464?t=hRNXMX-WHSZQDBzqnb9UYA&s=19
Nilikua nataka uliza.Hii ni Pangani bridge ambayo tumeisikia kwa miaka karibu 7 sasa?
Hao wasenge shida yao nini 😡😡😡😡
Ingekua mafuta yanapitishwa na Mzungu tu yangekaa kimya.
Ndio maana waafrika hatupigi hatua mijitu ovyo sasa wanataka mafuta yafanyweje yatapitishwaje for export.
Stupid sana Virungu vitembee.
🤣🤣🤣🤣🤣Umekuaje siku hizi?
Ndio ndio shirika hilo linalochochea liko Kenya na Anti Eacop figure ni Wakenya.Ukute kuna jirani anato sapoti waandamane maake hashindwi kwa husda alizo nazo kwa Tanzania
Picha Za ukutani namuona Diamond pale!View attachment 3252879
Nimekaa kuangalia hii picha kama Detective nimeona Tuma is hana na watu ambao ni low quality na ni brain damage.
1.Chupa za bila geto
2.Dirisha limewekewa gundi
3.Cocacola empty bottles
4.Picha za wasanii ukutani
5.Makunyanzi usoni
6.Tshirt ya mtumba
7.Jeans la michano
Aseeee nmecheka mnoo 😁😂😁😁😂😁😁😁😁😁😂😁🔥🔥🔥🔥😂😂🔥
Hawa watu ni brain damage kabisa Lowe quality of life then you came to pursuit with Tanzania’s oooooh kuchanika msamba.
Ndio maana yake!Ukute kuna jirani anato sapoti waandamane maake hashindwi kwa husda alizo nazo kwa Tanzania
Ngoja tumuulize mwaiofhawaii eti unamsikia kijana wako unayem inspire anamuongelea vby msanii wako umpendaye Marioo?Na huo upuzi anaimba atamanage hata 30 minutes of singing kama watu hawajahepa venue?
Napenda nyimbo zao hao sautisol ila nyimbo zao ni chache, naijua moja au mbili kama sikosei, hawawezi kusimama wao kama wao.Unaongelea in comparison ya Bien hana album na hajui kutunga nyimbo sio? Hata Sautisol sidhani kama walikuwa wanaweza ku-host event wenyewe!
Kama wana album basi haijulikani, ndiyo mana hatujui. Si kwa ubaya.Google Sol Fest and come back. Idiot.
Slum+slums =NairobiNairobi is a City, Dar es Salaam is a village.
View attachment 3245653View attachment 3245654View attachment 3245656View attachment 3245657
sometimes tukubali ukweli bien amestahili kushinda na kashinda full stop. mambo ya album sidhani kama yalikua yanaangaliwa zaidi ya live perfomance kwenye jukwaaA group award doesn’t count on individual! One question btn Marioo na Bien nani anaweza ku-host concert alone? Yaani 2 hours of singing? Mind u Bien hana album!