Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vi dustbin vinapendeza kiukweli, saivi posta imenyooka sana very clean, pavements zimenyooka kila kona ya mtaa+ greenery, miti imezunguka barabara, No city in EA can relate. saivi itabidi tuagize vumbi kutoka Naipori. 🤣🤣🤣.
Says a boy who has never been to any other city other than Darislum
 
You bafoon. Know the differences. Is there any street like this in EA.? 👇🏾View attachment 3234116View attachment 3234117View attachment 3234118View attachment 3234119sizungumzii miti tu ilimradi mapori. 🤣🤣🤣 hayo yapo everywhere. Ninachozungumzia ni hii plan yake kando ya barabara + pavements all the way. Halafu skia hii ni kwa mitaa yote kuanzia posta mpya hadi ikulu. 🤣🤣🤣.

Leta mtaa wowote in EA unaeza fika these levels, kama uko na balls.
Wewe sokwe kijana toka hapo Tandale utembee ulimwengu. Kipi chana maana kwa hiyo street? Lack of exposure is a disease.
 
Tabora 👇👇
msafwa__255_1739375896069.jpg
 
Tofauti Ka-floor kamoja!
Acha wenge wewe 😂😂

Mbeya ni Kati ya Miji 6 yenye majengo marefu hapa Tanzania kuanzia 6 floors and above Kwa mujibu wa matokeo ya sensa.

The fact kwamba Majengo ya Mbeya Yako scattered isikidanganye unadhani Iringa inazidi achilia mbali hivyo Vijiji vingine 😁😁

Mbey a 👇👇
msafwa__255_1738123528726.jpg
msafwa__255_1737913926199.jpg
IMG_20240726_183819_066.jpg
 
Back
Top Bottom