Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,849
- 103,705
Makumbusho hapaJe, somo linaeleweka?
View attachment 3233382
uwanja wa dodoma utakua na uwezo wa kuchukua watazamaji 32,000
View: https://x.com/msigwagerson/status/1889281863161958681?s=46
uwanja wa dodoma utakua na uwezo wa kuchukua watazamaji 32,000
View: https://x.com/msigwagerson/status/1889281863161958681?s=46
kaka sasa hvi ni uchawa tu yani watu wanapiga pesa vibaya sana alimradi tu ujue kusifia tu 😂😂😂😂Kila mtu msemaji I hate this
Wahuni wasije kuviiba tuu hivyo vi dustbinThis is how Posta streets in Dasilinga look like kwasasa View attachment 3233302View attachment 3233303View attachment 3233304View attachment 3233305View attachment 3233306View attachment 3233307mitaa imenyooka karibu yote. 😅😅
kama kweli tunania dodoma ndio capital city basi bado haitoshi atleast tungevuta mpaka 45,000 kwa kuanzia, dodoma inakuja kwa kasi sana imagine serekali yote ihamie huko, balozi zote zihamie huko, mashirika ya kiserekali na yasio ya kiserekali yahamie huko etc na ukumbuke wote wanakwenda na familia zao unafkiri patakuaje? bado wafanya biashara, bado wasafiri bado wakazi ambao lazma population yao itakwenda juu sana, hatupaswi kufkiria kesho tunapaswa kufikiria 20yrs to come ili tusiingie hasara za kuja kujenga uwanja mwengine tenaInatosha kabisa.....
mbona ni mdogo mkuu mi nlijua utakuwa mkubwa kuliko wa hapo LUPASOInatosha kabisa.....
wala githeri wasione hii pliiiiiizzzzzzJe, somo linaeleweka?
View attachment 3233382
Tatzo wataalam wanawekwa pembeni alaf wanachukua watu ambao akili amna ndio wanapewa kipaumbele.kaka sasa hvi ni uchawa tu yani watu wanapiga pesa vibaya sana alimradi tu ujue kusifia tu 😂😂😂😂
Well said kabisa dunia saiv inawaza 80k hapa tunaweza viwnja 32K imagine kama mkapa saivi tu inajaa na kutema na watu awatoshi.kama kweli tunania dodoma ndio capital city basi bado haitoshi atleast tungevuta mpaka 45,000 kwa kuanzia, dodoma inakuja kwa kasi sana imagine serekali yote ihamie huko, balozi zote zihamie huko, mashirika ya kiserekali na yasio ya kiserekali yahamie huko etc na ukumbuke wote wanakwenda na familia zao unafkiri patakuaje? bado wafanya biashara, bado wasafiri bado wakazi ambao lazma population yao itakwenda juu sana, hatupaswi kufkiria kesho tunapaswa kufikiria 20yrs to come ili tusiingie hasara za kuja kujenga uwanja mwengine tena
Inatosha kabisa.....
kama kweli tunania dodoma ndio capital city basi bado haitoshi atleast tungevuta mpaka 45,000 kwa kuanzia, dodoma inakuja kwa kasi sana imagine serekali yote ihamie huko, balozi zote zihamie huko, mashirika ya kiserekali na yasio ya kiserekali yahamie huko etc na ukumbuke wote wanakwenda na familia zao unafkiri patakuaje? bado wafanya biashara, bado wasafiri bado wakazi ambao lazma population yao itakwenda juu sana, hatupaswi kufkiria kesho tunapaswa kufikiria 20yrs to come ili tusiingie hasara za kuja kujenga uwanja mwengine tena
Vi dustbin vinapendeza kiukweli, saivi posta imenyooka sana very clean, pavements zimenyooka kila kona ya mtaa+ greenery, miti imezunguka barabara, No city in EA can relate. saivi itabidi tuagize vumbi kutoka Naipori. 🤣🤣🤣.Wahuni wasije kuviiba tuu hivyo vi dustbin
Nadhani upo sawa!mbona ni mdogo mkuu mi nlijua utakuwa mkubwa kuliko wa hapo LUPASO
a ban is loading!am happy 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
View attachment 3233581