Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa anayefahamu kuhusu Magufuli City Dodoma Je
1. Total cost ni ngapi
2 Ina phase ngapi
3. Ni administrative capital tu ? au itakuwa na technopolis itakuwa smart city ? au ni purely administrative tupu
4 Kuna mpango wa kuwa na vyuo, au kitu chochote technology/ict realted
 
Kwa anayefahamu kuhusu Magufuli City Dodoma Je
1. Total cost ni ngapi
2 Ina phase ngapi
3. Ni administrative capital tu ? au itakuwa na technopolis itakuwa smart city ? au ni purely administrative tupu
4 Kuna mpango wa kuwa na vyuo, au kitu chochote technology/ict realted
Utekelezaji wa awamu ya 2 ukianza bila shaka watasema ila kinachojukikana Kwa Sasa ni makisio ya gharama zote za project nzima.hadi.kukamilika.

Aidha awamu ya kwanza gharama zimeshaelezwa hapa na kwamba soon Watanzania awamu ya pili 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DFx6ExXt1Ra/?igsh=YTBiZHM1eXU2d2ln
 
Back
Top Bottom